DJPEREZ SHOW
Member
- Jun 18, 2019
- 23
- 19
Samahan sana wana JamiiForums,
Naombeni msaada kwa yeyote atae guswa m ni kijana mwenye umri wa miaka 26 nmetoka chuo mwez wa tatu 2022 nmezunguka sana kutafta nafasi ata ya kujitolea nakosa jaman naombeni sana msaada wenu nipo mgololo mufindi iringa nna vyeti na leseni pia ata kwa waliopo kalibu na mashine izo naombeni ata kwa kazi yoyote ilimladi niwe kalibu na mashine izo nna cheti cha 4m 4 na nlipitia mgambo.
Namba zangu za simu
0746311461
Naombeni msaada kwa yeyote atae guswa m ni kijana mwenye umri wa miaka 26 nmetoka chuo mwez wa tatu 2022 nmezunguka sana kutafta nafasi ata ya kujitolea nakosa jaman naombeni sana msaada wenu nipo mgololo mufindi iringa nna vyeti na leseni pia ata kwa waliopo kalibu na mashine izo naombeni ata kwa kazi yoyote ilimladi niwe kalibu na mashine izo nna cheti cha 4m 4 na nlipitia mgambo.
Namba zangu za simu
0746311461