Million 7, mawazo ya biashara

Kama anajiamin afanye biashara ya mkoa na mkoa,km ndo sster duu afungue maduka ya nguo.biashara ya mkoa km alizet,mpunga,na kusafirisha ndiz toka tky.
 
Kuna Biashara Inahitaji Mtaji Wa Millioni Moja Tu Na Faida Utakayoipata Kila Unapotoka Pori Kuja Mjini Ni Laki Mbili Na Nusu Na Ndani Ya Mwezi Mmoja Unaweza Kwenda Mara Tatu Hadi Nne ...
Naomba msaada niijue hiyo biashara mie nipo dar
 
Nipo mkoni Rukwa yapata mwaka sasa, fursa zilizopo

1. Ngano inauzwa 60000 gunia msimu wa mavuno (May-June) halafu inauzika 120000 kwa gunia Nov-feb.

2. Gunia la mpunga linauzwa 180000 kijini Rukwa then ukisafirisha na kukoboa pamoja na vikorokoro vyote ukiuza mchele hupungui 245000, so pigia 5mil gawa 180000 ukipata idadi ya gunia times 65000, je hujatoka?
 
Nchi fursa zipo kila kona. Shida ni kutokuwa na jicho la kuziona fursa kama ilivyo kuwa kwa mamaye Ishmael aliyetaka kufa pamoja na mwanawe kwa kiu ilhali kisima cha maji kilikuwa mita tatu toka aliko! 7m is a lot of money kwa ujasiriamali wa nyumbani.
 
Kamnunulie shamba RUVU, kisha mnunulie vifaa vya umwagiliaji, mbegu, dawa na mpe kidogo fedha ya kuwalipa wasaidizi wa kulima. Mwambie alime BAMIA ama MATANGO. Baada ya siku 75 atakuja na ujumbe tofauti na ataendelea kuvuna kw kipindi kirefu hasa hasa BAMIA.
 
jamaa bado hujapata jawabu tu?
kuna biashara ya vipuri vya bodaboda inaweza kumfaa kama mtapata location nzuri ni biashara yenye mzunguko mzuri iwapo utapata kijana mzoefu kwenye ufundi wa pikipiki ukawa unamtumia kama ki garage flani hivi pembeni ya suka lako.
 
Kati ya wachangiaji wote hakuna wazo la maana hata moja maana yote ni mawazo mepesi yasiyokuwa na possibility ya kupata faida na kukua kwa biashara. This explains much why Tanzania is poor.

Wewe ni mrwanda? mush??? no this is Tanzanian, ehe tupe wazo lako kama wewe si poor?
 
Kamnunulie shamba RUVU, kisha mnunulie vifaa vya umwagiliaji, mbegu, dawa na mpe kidogo fedha ya kuwalipa wasaidizi wa kulima. Mwambie alime BAMIA ama MATANGO. Baada ya siku 75 atakuja na ujumbe tofauti na ataendelea kuvuna kw kipindi kirefu hasa hasa BAMIA.
Hiyo shughuli inahitaji mtaji wa kiasi gani, kama itakuwa ndani ya kipato changu hata mimi nikaingie huko.Hebu nipe muongozo full, shamba unapataje, mtaji, na vyote kwa pamoja, naomba unipe ufafanuzi
 
Back
Top Bottom