Milioni 200 za kuchora na kupaka rangi ndege vs milioni 495 za kuchora nembo ya TPB

ecolizer baba

Member
Sep 29, 2010
88
310
Wanabodi nawasalimu.
Nimekaa nikajiuliza kwamba kama Serikali ilikubali kununua nembo ya Benki ya Posta(TPB) kwa TZS Milioni 495 ilikuwaje serikali hiyo hiyo ikakataa ndege yetu kuchorwa Twiga na kupakwa Rangi kwa TZS Milioni 200??

Yaani Bunge letu linatumia nguvu kubwa kupambana na CAG badala ya kutumia nguvu hizo hizo kupambana na ufisadi wa aina hii??

Yaani Spika wa Bunge badala ya kutumia mamlaka yake kwa mujibu wa katiba kuiwajibisha Serikali yeye badala yake anayatumia kudidimiza juhudi za kulikomboa taifa hili!!?? Maajabu ya karne
 
mkuu usimuatake spika liatake bunge hapo ndo tutaenda sawa.... parliament is more than speaker... spika kakosa ufahamu wa mambo ya kikatiba lakini pia wabunge nao wamekosa ufahamu wa mambo ya kikatiba. ELIMU ELIMU ELIMU.
 
mkuu usimuatake spika liatake bunge hapo ndo tutaenda sawa.... parliament is more than speaker... spika kakosa ufahamu wa mambo ya kikatiba lakini pia wabunge nao wamekosa ufahamu wa mambo ya kikatiba. ELIMU ELIMU ELIMU.
Our problem is the ruling party
 
Wanabodi nawasalimu.
Nimekaa nikajiuliza kwamba kama Serikali ilikubali kununua nembo ya Benki ya Posta(TPB) kwa TZS Milioni 495 ilikuwaje serikali hiyo hiyo ikakataa ndege yetu kuchorwa Twiga na kupakwa Rangi kwa TZS Milioni 200??

Yaani Bunge letu linatumia nguvu kubwa kupambana na CAG badala ya kutumia nguvu hizo hizo kupambana na ufisadi wa aina hii??

Yaani Spika wa Bunge badala ya kutumia mamlaka yake kwa mujibu wa katiba kuiwajibisha Serikali yeye badala yake anayatumia kudidimiza juhudi za kulikomboa taifa hili!!?? Maajabu ya karne
Sina hakika kama ulicho kiandika unaufahamu nacho..! toka lini ulisikia Bodi ya zabuni inaendeshwa na Bunge mpaka ulihusishe Bunge hapo au Serikali? suala la ATCL liliwezekana tu mpaka Rais alipojua na kwakuwa ATCL anapiga macho kwelikweli lakini asingejua Mh Rais basi ile Million 200 ingetumika kama kawaida na kama issue ya kuwajibika wawajibike wenyewe TPB na Bodi ya Zabuni usilihusishe Bunge wala Serikali kwasasa.
 
Halafu kuanzia mwakani wanataka wabakie peke yao tu bungeni! Ccm wana utani sana na watanzania. Kila idara watu wanapiga tu. Sasa hizo sifa inazomwagiwa awamu hii kwa kupambana kwake na ufisadi zina tija kweli!
 
Back
Top Bottom