Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 4,999
- 13,342
8A40C14
Sportybet
Sportybet
Akarefresh majukwaa mengine kabla ya kipigo
Uhakika wa kushinda upo sema ndio hivo odds ndogoHivi Liverpool anashinda kweli?? Maana namtegemea sana anivushe
Kiongozi ebu dondosha game 10 zenye uwezekano wa over 2.5
Yako wapi yanayotusua jamani? Mi mbona nabeba kila linalokuja humu ila yanapigwa tu?Matreni oyee!
Option hizo zako usizidishe timu mbili ona hizi hapa multscore.Winning probability 0%
Maajabu hutokea kwenye Gambling
Maana ya Hii Bet : Aston Villa Awe Wakwanza Kufunga Goli lakini Matokeo ya Mwisho Nottingham ashinde na zingine zote
So edit unavyo fikiria.View attachment 2804334
Watu code hamuweki halafu mnataka sifa tujue mmeshinda huu ni utoto aise kwa nini hambadilikiwatu wakiwa wanalia na RB sijui mimi nilimlukaje aise.
maajab ni kiweka 10000/ chali 5000 chali buku chali nimeweka 500 tu kitu kimetiki kimasihara mechi 21.
najua kuna watu watakuja hapa kulalamika mbona ukuweka code hapa ipo hivi kwa siku mtu una beti mikeka zaidi ya 10 uwezi jua utashinda upi.View attachment 2804532
Sikushauri mimi kama mimi, win to nil.....🚯🚯🚯762932D betpawa naombeni ushauri nataka niweke laki wakuu
Acha utapigwa762932D betpawa naombeni ushauri nataka niweke laki wakuu
Ni kweli mkuu, safi sana hela ndogo imeleta kubwa 😁watu wakiwa wanalia na RB sijui mimi nilimlukaje aise.
maajab ni kiweka 10000/ chali 5000 chali buku chali nimeweka 500 tu kitu kimetiki kimasihara mechi 21.
najua kuna watu watakuja hapa kulalamika mbona ukuweka code hapa ipo hivi kwa siku mtu una beti mikeka zaidi ya 10 uwezi jua utashinda upi.View attachment 2804532
Ah shukrani 🙏 nasajiri vodaNimetoa jana na imekubali fresh
Uhakika huu mkeka!? Nasachije pale!?324DDD4 betpawa
Sasa mbona inaniambia hivi? Shida nini?Hizo hapo mkuu,leo ni j'pili
Sportybet
141DC02