Wild Flower
Member
- Jul 20, 2023
- 87
- 103
Steven Charles Kanumba alizaliwa 8 Januari, 1984. Alikuwa miongoni mwa waigizaji maarufu nchini Tanzania.
Aliingiza katika tasnia ya uigizaji miaka ya 90 na na kujizoelea umaarufu mwaka 2002 baada ya kujiunga na kundi la Kaole Sanaa Group.
Aliwahi kupewa tuzo ya mwigizaji bora wa kiume nchini kwa miaka mitatu mfululizo mwaka 2006, 2007 na 2008. Alikuwa mwigizaji wa kwanza kufanya kazi nje ya nchi na waigizaji akiwemo Mercy Johnson.
Alifariki tarehe 7 Aprili 2012 akiwa na umri miaka 28 na kifo chake kimekuwa ni pigo katika tasnia ya filamu.
Aliingiza katika tasnia ya uigizaji miaka ya 90 na na kujizoelea umaarufu mwaka 2002 baada ya kujiunga na kundi la Kaole Sanaa Group.
Aliwahi kupewa tuzo ya mwigizaji bora wa kiume nchini kwa miaka mitatu mfululizo mwaka 2006, 2007 na 2008. Alikuwa mwigizaji wa kwanza kufanya kazi nje ya nchi na waigizaji akiwemo Mercy Johnson.
Alifariki tarehe 7 Aprili 2012 akiwa na umri miaka 28 na kifo chake kimekuwa ni pigo katika tasnia ya filamu.