Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,627
- 47,427
FafanuaMtu na mumewe hapo
FafanuaMtu na mumewe hapo
Ninaweza kusema bila kusita CCM na CDM vyote hovyo.Basi hata Rais aliyekubali awe WM miaka kumi naye atakuwa mbovu kuliko wote, Chama kilichokuwa madarakani kitakuwa cha hovyo what else!
Anatumwa Dangote,na Trump,sembuse Sumaye,alikuwa kiongozi wa umma,hamna cha upekee hapoMaskini Sumaye katika meza yeye ndie kiongozi aliyewahi kushika nyadhifa kubwa hapa Tanzania lakini leo hii anatumwa na akina mnyika na mdee
Mbona mzee warioba mlimpiga makofi hamkujua wadhifa aliowahi kushika? Msiwe mnasahauMaskini Sumaye katika meza yeye ndie kiongozi aliyewahi kushika nyadhifa kubwa hapa Tanzania lakini leo hii anatumwa na akina mnyika na mdee
Mbona Mzee Warioba mlimpiga Makofi kwani hakuwahi kuwa kiongozi mkubwa?Maskini Sumaye katika meza yeye ndie kiongozi aliyewahi kushika nyadhifa kubwa hapa Tanzania lakini leo hii anatumwa na akina mnyika na mdee
Hivi yule fala aliyezuia kikao kufanyika wilayani "kwake" amewalipa fidia wamiliki wa nyumba na biashara mbali mbali?
Mashinji awe makini na vikao vya aina hii!
Baraza la Uongozi Kanda ya Ziwa lakini nawaona akina Sumaye Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani na akina Mdee. Hao wa Kanda ya Ziwa ni akina nani?
Mashinji awe makini na vikao vya aina hii!
Wacha wao waendele na Move lakichina
Nadhani hana hulka ya kutaka kutukuzwa au kuwa na ufahari kama wewe!Maskini Sumaye katika meza yeye ndie kiongozi aliyewahi kushika nyadhifa kubwa hapa Tanzania lakini leo hii anatumwa na akina mnyika na mdee
Mbona hushangai Ronadinho leo anacheza soka la ndani India?🤣🤣🤣🤣Yaani ningekuwa Mimi ningenyuti tu nakaa na wajukuu, hii ni Sawa na samatta aje kustaafu mpira halafu asajiriwe ndanda fc