1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 455
- 1,813
Striker gan wewe mjinga mjinga, striker unapewa pasi funga unapeleka nje, magolo 2 clear kabisa anakosa mjinga huyu, ameniudhi sana leo
Striker gan wewe mjinga mjinga, striker unapewa pasi funga unapeleka nje, magolo 2 clear kabisa anakosa mjinga huyu, ameniudhi sana leo
Sawa magufuliStriker gan wewe mjinga mjinga, striker unapewa pasi funga unapeleka nje, magolo 2 clear kabisa anakosa mjinga huyu, ameniudhi sana leo
HAMA UTAKUFA NA HAKO KATIMUStriker gan wewe mjinga mjinga, striker unapewa pasi funga unapeleka nje, magolo 2 clear kabisa anakosa mjinga huyu, ameniudhi sana leo
Vipi mmehairisha kurudiana na Yanga!??Yeye na che malone kachoma kabisa ubishoo na kutaka kujiamini che malone amkekuwa anajiamini kujidai vichenga vya kishenz sehem ambayo beki hasifiwi kwa mambo ya kipuuzi kama yale fred ni takataka kabisa kingine akina barua na chasambi wasione wao tu kufunga wasifiwe kwa sasa team inahitaji matokeo kuliko kusifia mtu