Erick Richard R-Madrid
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 399
- 282
NdioAmpeleke tu
NdioAmpeleke tu
Ambo ni mtoto wa Mujini. Hatakuja kumuweza katu
Kwani rc kuomba msamaha kuna tatizo gani?hii ndio akili meya sasa!! aombwe msamaha!!
hao nyumbu wengine wakoje?
chukua hatua no blah blah
Meya huyo aisaidie polisi kifo cha ndesamburo kafa baada Ya kukutana na Mzee ndesamburo alimfanya nini mzee wa watu hadi akafa ?Meya huyu angekuwa na akili angefunga mdomo kwa muda hata wa miezi 12 hivi...Hivi anachukulia kirahisirahisi kuwa mtu wa mwisho kukutana na mzee Ndesa kabla hajaaga dunia?
Ambo ni mtoto wa Mujini. Hatakuja kumuweza katu
Haa hyo kesi nyingine tenaMeya huyo aisaidie polisi kifo cha ndesamburo kafa baada Ya kukutana na Mzee ndesamburo alimfanya nini mzee wa watu hadi akafa ?
Meya wa jiji la Arusha ametoa siku saba kwa Mkuu wa mkoa wa Arusha kumuomba msamaha kwa kumuweka ndani (Mahabusu) kwa takribani siku tatu.
Pia ameongeza kwa kusema kwamba kama Mkuu wa mkoa, Mh Mrisho Gambo atashindwa kufanya hivyo alivyomwambia basi atamchukulia hatua pamoja na kwenda kufungua kesi mahakamani kwa kitendo alichofanya Mrisho Gambo
Pia amezungumzia swala la Mkuu wa mkoa kuweka watu ndani pamoja na watumishi wa dini na waandishi wa Habari na hali ya sintofahamu ya kuzuia kuagwa kwa mwili wa Mh Ndesamburo katika viwanja vya Mashujaa
Eti ee, yaan watu wanawekwa mahabusu bila sababu. Kweli watu wanatafuta kiki Sana.Hizi kiki zingine duh!
Kila jambo linamwisho wake,Adolf Hitler pamoja na ubabe wake wote pamoja na kuwa Mtoto wa mjini aliishia kuwa Mtoto wa kijijini.Gambo ni mtoto wa Mujini. Hatakuja kumuweza katu