Merz amwalika Netanyahu Ujerumani licha ya hati ya kukamatwa na ICC

Mkuu uhusiano uliokuwepo kati ya Slobudan na NATO huwezi kuulinganisha na uhusiano uliopo kati ya Netanyahu na NATO

Hakuna nchi ya EU ama NATO wanaoweza kumkamata Netanyah, hizo nchi zinaiheshimu sana USA,

Kumkamata kiongozi wa Israel unakuwa umemkamata kiongozi wa USA
Tuweke kumbukumbu sawa kwaiyo Netanyahu Anakwenda lini ULAYA nasisi Tusubili kuona NETANYAHU Akipokewa uko ULAYA !!!?

Kama HATI aitafutwa basi

Mm nawaambia iyo Siku aipo NETANYAHU kashapeana Talaka ya Milele na ULAYA!!!!
 
Back
Top Bottom