Mechi ya Yanga vs kaiza chiefs, tiketi zote SOLD OUT, wa south wana hamu ya kuitazama Yanga

ngara23

JF-Expert Member
Aug 31, 2019
4,009
9,542
Mechi ya Yanga na Kaizer chiefs imevunjwa record ya soccer la south Africa kuuzwa zote kabla ya siku mbili ya mchezo.

Unaambiwa mtaani watu wa South Africa wanahamu sana kuitazama team kubwa Africa Young Africans

Wanataka wamuone Aziz ki, Chama, mudathir n.k

Hii team ya Young Africans ishakuwa team kubwa Africa wamefanya pre season kubwa, wamecheza na team ya Bundasliga na zingine za South Africa

Mbumbumbu huko Egypt wao ni kucheza na team dhaifu za wanafunzi wa vyuo vya Madrasa na matokeo kuwa ya kificho wakitaka mashabiki wa Simba wasione.

Go Yanga tuwakilishe
 
Hiyo
 

Attachments

  • Screenshot_20240726-183554.png
    Screenshot_20240726-183554.png
    825.4 KB · Views: 1
Mechi ya Yanga na Kaizer chiefs imevunjwa record ya soccer la south Africa kuuzwa zote kabla ya siku mbili ya mchezo.

Unaambiwa mtaani watu wa South Africa wanahamu sana kuitazama team kubwa Africa Young Africans

Wanataka wamuone Aziz ki, Chama, mudathir n.k

Hii team ya Young Africans ishakuwa team kubwa Africa wamefanya pre season kubwa, wamecheza na team ya Bundasliga na zingine za South Africa

Mbumbumbu huko Egypt wao ni kucheza na team dhaifu za wanafunzi wa vyuo vya Madrasa na matokeo kuwa ya kificho wakitaka mashabiki wa Simba wasione.

Go Yanga tuwakilishe
Wanainchi safi Sana.
 
Back
Top Bottom