Nilitaka kumtaja ricardo nakutana na musonda nikachokaYes.
Kuna mastaa wengi kutoka nchi zingine tumeshuhudia wakikipiga soka hapa nchini n wengine bado wapo hata sasa baadhi yao ni kama hawa hapa
Musonda
Francis Kahata
Yaw Berko
Amis Tambwe
Haruna Niyonzima
Tuisila Kisinda
Ntibanzokisa Saido
Bernard Morisson
Ramadhan Waso
Kanoute 'Putin'
Constantine Kimanda
Ben Mwalala
Doyi Moke
Kipre cheche
Banza Tshikala
Aziz K
Moloko Jesus
Mukoko Tonombe
Tshibobou
Pacome Zouzoua
Donald Ngoma
Kalala Mayele
Mordon Malitoli
Pape Sakho
Kichochi lemba
Michael Sarpong
Prince Dube
Chirwa Obrey
Aucho Khalid
Mafisango Mutesa Patrick
Felix Sunzu
Patrick Katalay
Meddie Kagere 'MK14'
Youthe Rostand
Ambani Boniface
Djigou Diara
Inonga
Chemalon
David Molinga 'Ndama'
Amis Tambwe
Emmanuel Okwi
Pitchou Kongo
John Baraza
Chama Clatous
Patrick Ochan
Tshitshimbi
Carlinhos
,,,na wengine chungu nzima
Mchezaji au wachezaji wa ligi kuu nchini bora zaidi kwako wa muda wote.
Namm nitaweka wangu hapa.
True jamaa fundi wa ukweliEbwanae, hakuna mchezaji aliyenikonga kama haruna niyonzima. Uchezaji is an art. Sikuwahi kuchoka kumuangalia alipokuwa anacheza. Kwa lugha nyingine, mpira ulimpenda kuliko yeye alivyoupenda. Alikuwa analicommand gozi na lilikuwa linamtii kwa utuo. Pasi zenye maono zilikuwa zinatumwa na kufika, penetration pass zake zilikuwa hatari mno, next level penetration passes. Juu ya yote, control kwake ni SANAA. Alikuwa analetewa pass ya chuki na kuu control mpira na ukamtii, kisha kupiga one damn merciless killer pass. Bila shaka ninaamini mwamba alikuwa underrated. He's my favourite among midfield maestros.
Kwa Berko na Diara umechochola mkuu. Kwangu mini ni Nonda shabani "Papiii" pamoja na Diara.Mimi ni Yanga ila Okwi ni mchezaji bora kabisa kuwahi kucheza soka la Tanzania.
Yaw Berkooo, mpaka sasa sijaona kipa mzuri Yanga kama Yaw Berko ktk kipindi chake. Huyu Mghana alikuwa anajua kuzilinda nyavu.
We Mkongwe kama unawajua hao. Hao jamaa ni mafundi sana. Shekhan Sijui kapotelea wapi. Kwa wachezaji wazawa, sijui kama kuna anayemkutia Shekhan Rashid Abdallah. Tanga kulikuwa na Abdallah Salehe Sabebe kijana wa Majani Mapana, Shekuye Salehe pamoja na Waziri Mahadhi bin Jabri. 🔥 📛Shehani Rashid(pemba), waziri mahadhi nchi ya tanga
Ungeuliza wale ambao walikuwa ni hasara kwa timu zao, lakini wengine wengi walikuwa bora kulingana na wakati wao na nafasi zao kwani hawakucheza kipindi kimoja na hawakucheza katika nafasi moja kiasi cha kuwaweka kipimo komoja.Yes.
Kuna mastaa wengi kutoka nchi zingine tumeshuhudia wakikipiga soka hapa nchini n wengine bado wapo hata sasa baadhi yao ni kama hawa hapa
Musonda
Francis Kahata
Yaw Berko
Amis Tambwe
Haruna Niyonzima
Tuisila Kisinda
Ntibanzokisa Saido
Bernard Morisson
Ramadhan Waso
Kanoute 'Putin'
Constantine Kimanda
Ben Mwalala
Doyi Moke
Kipre cheche
Banza Tshikala
Aziz K
Moloko Jesus
Mukoko Tonombe
Tshibobou
Pacome Zouzoua
Donald Ngoma
Kalala Mayele
Mordon Malitoli
Pape Sakho
Kichochi lemba
Michael Sarpong
Prince Dube
Chirwa Obrey
Aucho Khalid
Mafisango Mutesa Patrick
Felix Sunzu
Patrick Katalay
Meddie Kagere 'MK14'
Youthe Rostand
Ambani Boniface
Djigou Diara
Inonga
Chemalon
David Molinga 'Ndama'
Amis Tambwe
Emmanuel Okwi
Pitchou Kongo
John Baraza
Chama Clatous
Patrick Ochan
Tshitshimbi
Carlinhos
,,,na wengine chungu nzima
Mchezaji au wachezaji wa ligi kuu nchini bora zaidi kwako wa muda wote.
Namm nitaweka wangu hapa.
streka muongomuongo huyuBoniphace Ambani
duuh kumbe na uku upo?Emanuel Okwi
Cloutus Chama
Haruna Niyonzima
Maalim Saleh Romario unamuweka wapi?We Mkongwe kama unawajua hao. Hao jamaa ni mafundi sana. Shekhan Sijui kapotelea wapi. Kwa wachezaji wazawa, sijui kama kuna anayemkutia Shekhan Rashid Abdallah. Tanga kulikuwa na Abdallah Salehe Sabebe kijana wa Majani Mapana, Shekuye Salehe pamoja na Waziri Mahadhi bin Jabri. 🔥 📛
Naye alikuwa moto hasa.Maalim Saleh Romario unamuweka wapi?