kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,892
- 7,778
sina hakika kama msajili ataweza kusaidia ku retreave hisa za jiji uda ila kama shahidi mahakamani dhidi ya simon group.Msajili wa hazina sijui maana naona na yeye kama haeleweki hv...
sina hakika kama msajili ataweza kusaidia ku retreave hisa za jiji uda ila kama shahidi mahakamani dhidi ya simon group.Msajili wa hazina sijui maana naona na yeye kama haeleweki hv...
Mmeuziwa Mali ya wizi, lazima tuirejeshe kwa mmiliki halali kwa gharama yoyote ile,tuwekee hicho kifungu cha sheria kinasema lazima madiwani waweke baraka kabla jiji halijauza UDA
Mkuu, Kisena na wapambe wake wamepigwa na butwaa kali sana !Mmeuziwa Mali ya wizi, lazima tuirejeshe kwa mmiliki halali kwa gharama yoyote ile,
Inawaumiza sana has a wakiona mwenyekiti wa chama anakwenda kupokonywa Mali aliyoipata kiujanja.Mkuu, Kisena na wapambe wake wamepigwa na butwaa kali sana !
Huyu Majaliwa ndio anadhibitisha kuwa hata kauki za bosi wake na nia yake sio za kweli. Wenye mali jiji kupitia baraza la madiwani wanasema waneibiwa kijanja mali yao, yeye anasema ni halali. Kwa nini naye asionekane ni mwizi pia kwa kushirikiana na mwizi?Inasikitisha sana serikali kukomaa kuwa hisa ziliuzwa kihalali, wakati mchakato mzima ulikiukwa haya mambo ndio yanayosababisha ccm iwe genge tu la majizi, kila kipengele kilikiukwa leo waziri mkuu anaonge hadharani kuwa 56% ni za simon group kwa sababu tu mwenyekiti wa chama anahusika inasikitisha sana.
Hapo ndio inathibitika walio maliza nchi hii ni viongozi wa serikali kutoka ccm, Majaliwa ambae ni waziri mkuu kuongea hayo inasikitisha sana, hapo lazima jiji likomae mikataba iwekwe hadharani, tunakubali walinunua ila kwa njia haramu, hisa zirudi kwa wananchi.Huyu Majaliwa ndio anadhibitisha kuwa hata kauki za bosi wake na nia yake sio za kweli. Wenye mali jiji kupitia baraza la madiwani wanasema waneibiwa kijanja mali yao, yeye anasema ni halali. Kwa nini naye asionekane ni mwizi pia kwa kushirikiana na mwizi?
Yeye anaunga mkono mchakato wa kuuza mali ya umma kwa kulipa fedha kwenye akaunti ya mtu binafsi?
Baraza la jiji lintangaze hadharani Majaliwa kuwa ni mlinzi wa wezi wa jiji
Sambamba na ulirudishaji wa UDA, kama wahusika walioliingiza UDA katika matatizo bado wapo kwa nini wasifikishwe mahakamani kwa kuuza mali ya umma bila kufuata taratibu?Hapo ndio inathibitika walio maliza nchi hii ni viongozi wa serikali kutoka ccm, Majaliwa ambae ni waziri mkuu kuongea hayo inasikitisha sana, hapo lazima jiji likomae mikataba iwekwe hadharani, tunakubali walinunua ila kwa njia haramu, hisa zirudi kwa wananchi.
kwan wa/mmiliki wa simon group ni nani?Nawashauri Simon Group wakubali bila mizengwe ili kulinda heshima ndogo sana iliyobaki ya kampuni yao , wakithubutu kwenda mahakamani watadhalilika kwa kiwango cha kutisha mno ! mengine mengi mno yatafumuka na majina kadhaa yatatajwa , hakuna haja .
huyu naye alichukuliwa hatua gani kwa kutofuata taratibu??? tatizo moja linaweza zaa mengine 100 hapo baadaye. folks, we should never take things for granted hata kidogo waungwanaDIDAS MASABURI KUUZA HISA 51% ZA UDA KWA KAMPUNI YA SIMON GROUP KUTOKANA NA KUTOFUATA TARATIBU.
you gotta be right mkuu. watu wanalalama baada ya kukosa mgaoHapa naanza kuona debate kama ile ya Escrow! Walionufaika wanasema si za umma na "wasionufaika" wanasema ni za umma!
Na kwa nini wawaogope hawa watu waliotuingiza mkenge? Hivi wanangoja nini kuwakamata au TAKUKURU hawalioni hili?huyu naye alichukuliwa hatua gani kwa kutofuata taratibu??? tatizo moja linaweza zaa mengine 100 hapo baadaye. folks, we should never take things for granted hata kidogo waungwana
shame on them allNa kwa nini wawaogope hawa watu waliotuingiza mkenge? Hivi wanangoja nini kuwakamata au TAKUKURU hawalioni hili?
Inasikitisha sana serikali kukomaa kuwa hisa ziliuzwa kihalali, wakati mchakato mzima ulikiukwa haya mambo ndio yanayosababisha ccm iwe genge tu la majizi, kila kipengele kilikiukwa leo waziri mkuu anaonge hadharani kuwa 56% ni za simon group kwa sababu tu mwenyekiti wa chama anahusika inasikitisha sana.
Kwa sasa TAKUKURU inatafuta sukari ya Zakaria .Na kwa nini wawaogope hawa watu waliotuingiza mkenge? Hivi wanangoja nini kuwakamata au TAKUKURU hawalioni hili?
Yaani wameacha kazi zoote zenye umuhimu na kushughulika na ablakadabla ya sukari! Ama kweli uabunuasi haushi.Kwa sasa TAKUKURU inatafuta sukari ya Zakaria .
Hakuna umma wowote katika dunia hii uliowahi kushindwa na genge la watu wanne .Inasikitisha sana serikali kukomaa kuwa hisa ziliuzwa kihalali, wakati mchakato mzima ulikiukwa haya mambo ndio yanayosababisha ccm iwe genge tu la majizi, kila kipengele kilikiukwa leo waziri mkuu anaonge hadharani kuwa 56% ni za simon group kwa sababu tu mwenyekiti wa chama anahusika inasikitisha sana.