Mbwana Samatta: Nina wazo kwanini Dar isibadilishwe jina ikaitwa Kolomije

As long as nae ni Mtanzania ruksa kutoa maoni. Mbona kuna wauza duka mtaani wamechagua upande na husemi kitu? Au ni nani mwenye haki ya kuongelea kinachoendelea hapa nchini? Kama atachukiwa basi sababu itakuwa ni wao wenyewe wameamua na sio mtazamo wake. Au unafikiri Diamond kuchagua upande wa Ccm hajawaumiza wanaUKAWA?
Mbwana ni Entity kubwa ya kibiashara kuliko "wauza duka wa mtaani".
Wauza duka wa mtaani hawawezi kuingia mkataba mkubwa na makampuni makubwa ulimwenguni kama Nike, Adidas, AIG n.k lakini Mbwana anaweza. Mbwana anaweza kuingia partinership ya mradi wowote mkubwa na serikali na akapiga mabilioni ya pesa. Kueni vijana mjue ulimwengu wa kibiashara.
 
Acha ushamba ww jinga unatambua Kila binadamu Ana freedom of speech?
Nina wasiwasi na umri wako, elimu ayko na uelewa wako wa ulimwengu wa kibiashara huria. Myu asie mwerevu akiniita mjinga mimi sirudishi tusi bali namjibu kwa busara kama hivi ninavyokujibu hapo chini soma vizuri uelewe ujifunze:

Mbwana Samatta alipofikia ni kama Entity ya kibiashara, anahitaji kila aina ya support toka kwa kila mtu na kila taasisi. Mbwana anaweza kuja kuwekeza kibiashara hapa nyumbani TZ hasa DSM, huku anahitaji ardhi,leseni za kibiashara, na kusajiri kampuni na kuhitaji endorsement ya serikali na ya taasisi binafsi kama za kanisa la Gwajima na Clouds FM. Atahitaji hizo leseni na ardhi toka serikalini na atatakiwa alipe kodi serikalini. unadhani atakuwa na mazingira rafiki ya kibiashara kama ataingia utata(kuchukiwa) na wenye dhamana huko serikalini wale ambao wako nyuma ya Makonda? Hata akifungua academy ya michezo au hospital kama wenzake akina Kanu, Adebayor, Etoo na Drogba anahitaji usajiri/vibali vya serikali. hawezi kuingiza container la vifaa vya biashara zake au academy bila kufanya tax clearance serikalini na hukomhujui nani yupo nyuma ya Bashite. Haya machache lakini yapo mengi wengine watakuja kuchangia. unafikiri kwanini IPP media hawashabikii sana hizi habari za Bashite? Unafikiri hawataki kuuza sana magazeti yao au wanampenda sana Bashite? je wewe una akili sana ya Biashara kuliko Mzee Mengi na washauri wake? Au Mzee Bhakresa? au Mo? Umemuona Manji au umemuona Mbowe na yanayowakuta unayajua? Sio lazima ukosoe kila kitu bila tafakari!! Kuna mengine yamewazidi upeo wenu wa kufikri na uelewa kuhusu biashara na kufanya vuta na Jamii au media au na Kaisari mwenye dola.
 
Binafsi sioni kama samata , ameingiza saisa hapo.. Ukisoma hiyo sentence nazani ameandika kwa masihara zaidi.. Ili watu wafurahi ..waondokane na stress ..si unajua sikuhizi viroba hamna...vinywaji vingine ni ghari aisee.. Pia ukiangalia watu aliowatag hapo ..( idriss ..joti ).. Mnataka kuniambia alikua serious ???
 
@Samatta77, Kwa sababu Koromije siyo kubwa kama Dar, unaonaje Koromije tukaiita Mbagala na Mbagala tukaiita Koromije? How that sound?
 

Mwambieni Poppa awe makini kwani akifanya mzaha sasa hivi na yeye atavamiwa hapo Kambini na Askari wakiwa na Mitutu yao. Sasa hivi Dar es Salaam yetu ni mwendo wa Kutishana tu kudadadeki. Sijui kwanini nilikataa kujifunza Karate wakati nikiwa mdogo na sasa nazeeka ndiyo ubabe unashika Kasi mjini hapa.
 
As long as nae ni Mtanzania ruksa kutoa maoni. Mbona kuna wauza duka mtaani wamechagua upande na husemi kitu? Au ni nani mwenye haki ya kuongelea kinachoendelea hapa nchini? Kama atachukiwa basi sababu itakuwa ni wao wenyewe wameamua na sio mtazamo wake. Au unafikiri Diamond kuchagua upande wa Ccm hajawaumiza wanaUKAWA?
Umeongea ikweli sana mkuu.je mbona huyo Bashite ni mshabiki wa simba ilihali yeye mwanasiasa?
 
Mwambieni Poppa awe makini kwani akifanya mzaha sasa hivi na yeye atavamiwa hapo Kambini na Askari wakiwa na Mitutu yao. Sasa hivi Dar es Salaam yetu ni mwendo wa Kutishana tu kudadadeki. Sijui kwanini nilikataa kujifunza Karate wakati nikiwa mdogo na sasa nazeeka ndiyo ubabe unashika Kasi mjini hapa.

Mkuu chuo kikuu mliman wameanza kutoa mafunzo ya Karate kwa bei poa sana kunzia saa kumi na moja jioni, if interested nkupe contact zao
 
Mbwana Samatta ....wanachangiaji hawajamuelewa hata mtoa mada mwenyewe.

Yeye Mbwana Samatta ameweka hiyo post yake kama utani Fulani tu na ndiyo maana kuna vi icon kama hivi :);)o_O katika post hiyo kuonyesha kuwa He is just joking

Sasa sisi wabongo tumekuwa serious Ku comment kama vile ni issue serious ila kwa Mbwana Samatta ni Utani tu hasa kwa anachokisoma kila siku ktk mitandao kuhusu kolomije.
 
Brother Pambana na mpira .. ya Kolomije mwachie Bashite , Utapigwa Burn usije Amini . UTASIKI ULIDANGANYA URAIA ..WW SI MTANZANIA .
 
Binafsi sioni kama samata , ameingiza saisa hapo.. Ukisoma hiyo sentence nazani ameandika kwa masihara zaidi.. Ili watu wafurahi ..waondokane na stress ..si unajua sikuhizi viroba hamna...vinywaji vingine ni ghari aisee.. Pia ukiangalia watu aliowatag hapo ..( idriss ..joti ).. Mnataka kuniambia alikua serious ???
Ukiwa professional lazima uwe makini na mizaa unayofanya au kusema.
 
Back
Top Bottom