Mbunge wa Bukoba Wilfred Lwakatare, Katika ubora wake, sasa ni zamu ya Nyakanyasi

Shughuli ya Ujenzi wa Barabara ya kupita wananchi inayoonganisha kata ya Bakoba na Kibeta, Eneo la Nyakanyasi umefanyika chini ya Usimamizi wa Mh. Wilfred Mugnayizi Lwakatare, ikiwa ni sehemu moja ya hapo ya shughuli za kuboresha maendeleo ndani ya Manispaa ya Bukoba.

Shughuli hizo zilifanyika pia chini ya Diwani wa kata ya Bakoba Mh. David Mwakyoma akileta tija kwa wananchi wake wa Kata hiyo kwa kuonyesha nguvu kazi ndani ya shughuli nzima kwa kusaidiana na Wananchi kwenye ujenzi wa barabara.

Msaada uliotolewa na Mh. Lwakatare ni pamoja na Cement mifuko 7,Mchanga , Kokoto, Mafundi, nguvu kazi Motisha, Mawe Trip2 yenye Jumla ya Gharama shs. 600,000. Mh. Lwakatare alishiriki mwenyewe kwenye umwagaji wa Zege na usombaji wa Mawe katika shughuli hiyo.
View attachment 316974 View attachment 316975 View attachment 316976 View attachment 316977 View attachment 316978
View attachment 316979
Mbunge Lwakatare akishiriki katika Ujenzi

Lwakatare ameamua kuing'arisha Bukoba kwa kuanza na zile sehemu Korofi za Barabara, Muda wa Siasa na uvyama umeisha Bukoba, Sasa kila mtu anajikita katika kuletea Maendeleo na Kuufanya mji wa Bukuba uwe mji wa Mfano kuwa Usafi na Miundombinu Bora. Sasa ni kazi mwanzo mwisho.


KASHAANZA KUHUJUMU PESA YA MICHANGO YA HARAMBEE:
TUMECHANGISHWA PESA JUZI ; ANATAFUTA NAMNA YA KUZITAFUNA

KAMA ALIVYO HUJUMU PESA ZA ABANA BASHOME; MWIZI MKUBWA...
 
Shughuli ya Ujenzi wa Barabara ya kupita wananchi inayoonganisha kata ya Bakoba na Kibeta, Eneo la Nyakanyasi umefanyika chini ya Usimamizi wa Mh. Wilfred Mugnayizi Lwakatare, ikiwa ni sehemu moja ya hapo ya shughuli za kuboresha maendeleo ndani ya Manispaa ya Bukoba.

Shughuli hizo zilifanyika pia chini ya Diwani wa kata ya Bakoba Mh. David Mwakyoma akileta tija kwa wananchi wake wa Kata hiyo kwa kuonyesha nguvu kazi ndani ya shughuli nzima kwa kusaidiana na Wananchi kwenye ujenzi wa barabara.

Msaada uliotolewa na Mh. Lwakatare ni pamoja na Cement mifuko 7,Mchanga , Kokoto, Mafundi, nguvu kazi Motisha, Mawe Trip2 yenye Jumla ya Gharama shs. 600,000. Mh. Lwakatare alishiriki mwenyewe kwenye umwagaji wa Zege na usombaji wa Mawe katika shughuli hiyo.
View attachment 316974 View attachment 316975 View attachment 316976 View attachment 316977 View attachment 316978
View attachment 316979
Mbunge Lwakatare akishiriki katika Ujenzi

Lwakatare ameamua kuing'arisha Bukoba kwa kuanza na zile sehemu Korofi za Barabara, Muda wa Siasa na uvyama umeisha Bukoba, Sasa kila mtu anajikita katika kuletea Maendeleo na Kuufanya mji wa Bukuba uwe mji wa Mfano kuwa Usafi na Miundombinu Bora. Sasa ni kazi mwanzo mwisho.
Kinachonifurahisha hawa jamaa UKAWANISM..ni kuwa hapo watasifia kuwa Lwakatare yuko vizuri....WANASAHAU KUWA IKITOKEA WA CCM AMEFANYA HIVYO WANAKIMBILIA KONA MOJA KUWA KULETA MISAADA NA KUSHIRIKI KAZI HIZO SIYO KAZI YA MVUNGE...Jana hapa Mh. JULIANA SHONZA alijaribu kuonyesha alichofanya yani kila mtu wa UKAWANISM aliponda kuw hana lolote HAJUI KAZI ZA MBUNGE..Kama afanyavyo Mch. MSIGWA Akikwepa majukumu na ahad alizotoa kwa wananchi... Eti kazi yake ni kuwafundisha watu kuvua samaki siyo kuwapa samaki. .KAZI ILIYOMSHINDA AKIWA MCHUNGAJI ETI AIWEZE AKIWA POLITICIAN..What a shame!!!!
Swali langu kwa hawa ndg..KWA NINI MNABADILIKA KAMA NYOKA????? WHY DOUBLE STANDARD????? Au ni kama viongoz wenu wafanyavyo leo wanasema hili kesho lile kesho kutwa hilo ??? Mfano KUNEBENEA...LISU...MBOWE....MSIGWAA....MR ZERO....LOWA..SANA....KINGUNGE. ...and the likes. ..why so men!!!!!
 
nyie Bukoba mlijichelewesha wenyewe kwa kumkumbatia kagasheki , maendeleo hayawezi kuja kwa watu kuangalia TV za bure alizotoa kagasheki , maendeleo ni kama hivi kamanda Lwaks anavyofanya .

Lwakatare si alikuwa mbunge wa Bukoba mjini na kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani kabla ya kuondolea na Kagasheki lakini hakuna lenye tija alilofanya zaidi ya kula pesa za mchango wa "Abana Bashome".

Kagasheki baada ya kuingia akaubadilisha mji ndani ya muda mchache.Lwakatare anachofanya sasa hivi bado hakionekani maana yote alaishafanya Kagasheki.

Asimamie haya ndio wanabukoba tutamuona wa maana
1. Ujenzi wa Soko kuu na soko la Kashai
2. Ujenzi wa Stendi kuu ya Bukoba
3. Atilie mkazo wa kupambana na ugonjwa wa mnyauko unaoshambulia midizi.
 
Kinachonifurahisha hawa jamaa UKAWANISM..ni kuwa hapo watasifia kuwa Lwakatare yuko vizuri....WANASAHAU KUWA IKITOKEA WA CCM AMEFANYA HIVYO WANAKIMBILIA KONA MOJA KUWA KULETA MISAADA NA KUSHIRIKI KAZI HIZO SIYO KAZI YA MVUNGE...Jana hapa Mh. JULIANA SHONZA alijaribu kuonyesha alichofanya yani kila mtu wa UKAWANISM aliponda kuw hana lolote HAJUI KAZI ZA MBUNGE..Kama afanyavyo Mch. MSIGWA Akikwepa majukumu na ahad alizotoa kwa wananchi... Eti kazi yake ni kuwafundisha watu kuvua samaki siyo kuwapa samaki. .KAZI ILIYOMSHINDA AKIWA MCHUNGAJI ETI AIWEZE AKIWA POLITICIAN..What a shame!!!!
Swali langu kwa hawa ndg..KWA NINI MNABADILIKA KAMA NYOKA????? WHY DOUBLE STANDARD????? Au ni kama viongoz wenu wafanyavyo leo wanasema hili kesho lile kesho kutwa hilo ??? Mfano KUNEBENEA...LISU...MBOWE....MSIGWAA....MR ZERO....LOWA..SANA....KINGUNGE. ...and the likes. ..why so men!!!!!
Uliona wapi nyoka anabadilika?
 
Hii ndio tunaita kuongoza kwa mifano.

Najivunia kuwa sikupoteza kura yangu nilipo mpompigia Rwakatare.

sasa ni zamu ya kufanya kazi na wananchi wa Bukoba waone maendeleo ya mji wao. Ni aibu sie wakuja bukoba tunaona mji uko vile vile miaka nenda rudi na hakuna maendeleo yoyote.

Bukoba sasa ifungue fursa na kuachana na mambo ya ukabila na kuruhusu mji ukue kimaendeleo.
 
Back
Top Bottom