Mbunge Sugu achague kuongea kiswahili au kiingereza bungeni anatuchanganya

Sugu ana inferiority complex ,na anahisi akiongea kingeleza basi angalau na yy ataonekana msomi kama wabunge wengne.

Nadhani unafahamu mdogo, sijasikia sehemu yoyote akichanganya English na Kiswahili maana yake kiswanglish. Au hujui maana ya kuchanganya, acha nikuelimishe, kuchanganya ni kudurufu maneno yaani, mf:-yesterday jana nilikuwa Mbeya. Hapo amechanganya, lakini akisema yesterday nilikuwa Mbeya hapo ameongea sentensi iliyokamilika ila ametumia kiingereza na kiswahili. Acha ushabiki kijana.
 
kweli bana sugu anakera. analeta lugha za kikora na kibongo flava bungeni. yafaa bunge kuonekana mahali pa staha na lugha safi ya kiswahili.
 
Huyu mbunge Sugu akichangia hoja huwa anachanganya kiswahili na kiingereza ili aonekane msomi.Wakati hamna kitu.Ukimsikiliza tu anavyoongea unajua ana elimu ya kuunga unga akitafuta aonekane naye yumo yumo.

Ushauri wangu achague ama aongee kiswahili au kiingereza.Lakini hicho cha kuunga unga na kuokoteza okoteza maneno ya kiingereza anatuchanganya na kutukera.
unastahili kukunwa
 
Huyu mbunge Sugu akichangia hoja huwa anachanganya kiswahili na kiingereza ili aonekane msomi.Wakati hamna kitu.Ukimsikiliza tu anavyoongea unajua ana elimu ya kuunga unga akitafuta aonekane naye yumo yumo.

Ushauri wangu achague ama aongee kiswahili au kiingereza.Lakini hicho cha kuunga unga na kuokoteza okoteza maneno ya kiingereza anatuchanganya na kutukera.
Faiza au mama sasha
 
Mleta mada ameamua kumshambulia mh.mbunge wala hakuwa anauliza kwanini achanganye lugha
WABUNGE WACHACHE SANA HAWACHANGANYI LUGHA SO WACHENI KUPOTEZA MUDA KUJADILI MAMBO YA KIPUUZ YASIYO NA TIJA KAFANYENI KAZI WE MTOA MADA KAFANYE KAZI ACHA KUPOTEZA MUDA
 
Sugu ana inferiority complex ,na anahisi akiongea kingeleza basi angalau na yy ataonekana msomi kama wabunge wengne.
Ni Sugu tu mmemwona?? Mbona wana Lumumba wengi tu wanafanya hivyo, hadi mawaziri kabisa? Acheni chuki binafsi.. Kama kakuchukulia demu wako sema tu.
 
kweli bana sugu anakera. analeta lugha za kikora na kibongo flava bungeni. yafaa bunge kuonekana mahali pa staha na lugha safi ya kiswahili.

Halafu Mkuu huyu huyu Mr.2 katika nyimbo zake alikuwa anawaponda waBunge Na waKurugenzi Kwa kuchanganya Kiingereza Na Kiswahili Au KiswaNglishi.Sasa yuko Bungeni kasahau aliyokuwa akihubiri.
Huo inaitwa UNAFIKI
 
Nimeangalia tbc Jana usiku, kweli jamaa atumie tu Kiswahili kuliko kuchanganya lugha huku unauliza usahihi wa alichoongea
Mtoto halali na hela, jaribu tu kuwa muungwana. Ni kweli Sugu alikuwa anatumia maneno ya Kiingereza na Kiswahili, kama ambavyo wabunge na hata Rais wetu hufanya (Rejea kwenye mkutano wa EAC Arusha). Alimuuliza Kigwangwala (bila kumtaja jina) kama alikuwa sahihi kutaja jina la kitaalamu kwa daktari aliyekuwa akimuzungumzia wakati ule-alisema 'ni sawa dk'? Sasa ubaya uko wapi? na Bunge lilikuwa limetulia likimsikiliza kwa makini maana mambo aliyokuwa akizungumza ni ya msingi na yaliwagusa wabunge hadi mawaziri wa wizara husika!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom