HEKIMA KWANZA
JF-Expert Member
- Mar 31, 2015
- 2,942
- 3,937
Mlinga alishaacha hiyo kitu au bado anatumia? Inaelekea ana hofu supplier wake watamtaja?
Ndo hivyo mkuu Sheria ifate mkondo wake sio kwa style iliyotumika ambayo haikufata misingi na utaratibu wa kisheria!!! Kama mtu anahusika na aadhibiwe vilivyo na kama ahusiki basi asafishwe vilivyo baada ya kuchafuliwa majina yao!???
Sheria ipi ilivunjwa?Ndo hivyo mkuu Sheria ifate mkondo wake sio kwa style iliyotumika ambayo haikufata misingi na utaratibu wa kisheria!!! Kama mtu anahusika na aadhibiwe vilivyo na kama ahusiki basi asafishwe vilivyo baada ya kuchafuliwa majina yao!???
Kama umefatilia kilicho Jiri Jana na Leo ndo utaelewa kama Sheria ilivunjwa! Na je? Mbona Leo majina 97 hayakutajwa tena kama walivyo tajwa wengine???Sheria ipi ilivunjwa?
Hivi mnataka Watanzania waangamie mpaka.We are fed up with this nonsense.Hata ikibidi Duterte style,fine.Maneno mazito ya mlinga hayo mwambie huyo chura aache ujinga kwenye mambo ya kitaifa
uko sawa.Bunge hili la February bure kabisa.
Yaani wabunge 50% ya muda wamejadili kile kilichowapeleka wabunge na
50% ya muda wao wametumia kumjadili RC Makonda.
Yaani hawa wawakilishi wetu bure kabisa
wewe unamsifu kwa sababu zako.wakati akichangia alisifu vita dhidi ya madawa.ikapita siku moja ikatajwa orodha ya mapapa akabadilika.vita akaibadilisha ikawa ..........utamuweka kundi gani akiwa ni kama mbuge wako?au ana..........nayeye?Siku hizi naanza kumeelewa mlinga, ukweli sasa ameanza kupevuka, Ila ccm mtu wa namna hii huwa hawamtaki kumsikia, subiri kama hajaitwa kutulizwa mtaona, mlinga Ana maana sana kuzidi lusinde
Mkuu sijawahi kusikia style hii ya makonda hata marekani mpaka leo inawatafuta magwiji wa dawa za kulevya lakini hawatajwi majina mpaka pale atakapokamatwaHaya ni maigizo ulishawahi kuona wapi duniani vita ya madawa inapiganwa kwa staili ya Makonda? Kiki zingine za kipuuzi sana.
Si kwa sababu ya kuvunja sheria ndugu, ni kuheshimu mamlaka iliyoteuliwa. Hakuna sheria iliyovunjwa. Kiboko na Chidi wameitwa hadharani leo, je sheria imevunjwa?Kama umefatilia kilicho Jiri Jana na Leo ndo utaelewa kama Sheria ilivunjwa! Na je? Mbona Leo majina 97 hayakutajwa tena kama walivyo tajwa wengine???
Si kwa sababu ya kuvunja sheria ndugu, ni kuheshimu mamlaka iliyoteuliwa. Hakuna sheria iliyovunjwa. Kiboko na Chidi wameitwa hadharani leo, je sheria imevunjwa?