Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
May 16, 2024
2,491
7,028
Mbunge wa Bunda Vijijini, Boniphace Mwita Getere akizungumza Bungeni Aprili 10 amesema;

"Wengi mnakaa humu ndani Bungeni ila sijawahi kuona unakaa na mwanadamu mstaarabu kama Waziri Mkuu tuliyenaye sasa hivi, ni mstaarabu mno, ni mchapakazi na mstaarabu, kila mtu anamsikiliza."

"Sasa mimi nikasikia maneno maneno unajua bwana, eenh! Waziri Mkuu sasa amemaliza vipindi viwili akienda huku sasa, akiwa mbunge anafanyaje kama sio Waziri Mkuu? Kwani kuna hoja gani, mbona tumewaona watu wengi tu, Mzee Malechela, tumeona Marehemu Lowassa wanakuwa Mawaziri wakuu na wakaa humu bungeni? Tunamuomba Waziri Mkuu Mkuu arudi Bungeni, arudi, habari ya Vyeo Mungu atajua, yeye arudi bungeni, ni mstaarabu mno.Anafanya kazi usiku na mchana kila Jimbo la Mbunge ameshaenda."

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Tunamuombea huko anakotokea arudi bungeni tukaye naye asaidie nchi. Lakini Mheshimiwa Mwenyekiti Waziri Mkuu amepita vipindi vigumu mno, alikuwa amefanya kazi na marehemu Magufuli, amekuja kwa mama amefanya naye kazi amemuonesha kila mahali, nchi leo ipo salama."

Ili kuongeza ajira ni vizuri apumzike sababu anatunzwa maisha na anapata mafao makubwa asilimia 80 ya waziri mkuu aliyeko madarakani

Atoe hiyo nafasi ya ajira kwa watu wengine kama alivyofanya Makamu wa Raisi Philip Mpango

Pia ni vizuri Raisi mpya anapoingia madarakani awe na timu yake mpya ya kuanzia wabunge mawaziri nk

Mwacheni Mama aunde timu mpya.
Na mbunge aliyetoa hilo wazo naye asirudi bungeni ajira yake naye apishe wengine
 
Hilo neno kuhusu vyeo anajua Mungu limekaa kimtego sana mana wengi wanajua jamaa hawezi kurudi tena baada ya raia kutoka Zanzibar kuharibu mipango
 
"Wengi mnakaa humu ndani Bungeni ila sijawahi kuona unakaa na mwanadamu mstaarabu kama Waziri Mkuu tuliyenaye sasa hivi, ni mstaarabu mno, ni mchapakazi na mstaarabu, kila mtu anamsikiliza."

"Sasa mimi nikasikia maneno maneno unajua bwana, eenh! Waziri Mkuu sasa amemaliza vipindi viwili akienda huku sasa, akiwa mbunge anafanyaje kama sio Waziri Mkuu? Kwani kuna hoja gani, mbona tumewaona watu wengi tu, Mzee Malechela, tumeona Marehemu Lowassa wanakuwa Mawaziri wakuu na wakaa humu bungeni? Tunamuomba Waziri Mkuu Mkuu arudi Bungeni, arudi, habari ya Vyeo Mungu atajua, yeye arudi bungeni, ni mstaarabu mno.Anafanya kazi usiku na mchana kila Jimbo la Mbunge ameshaenda."

Tunamuombea huko anakotokea arudi bungeni tukaye naye asaidie nchi. Lakini Mheshimiwa Mwenyekiti Waziri Mkuu amepita vipindi vigumu mno, alikuwa amefanya kazi na marehemu Magufuli, amekuja kwa mama amefanya naye kazi amemuonesha kila mahali, nchi leo ipo salama."

usibishane na katiba
 
"Wengi mnakaa humu ndani Bungeni ila sijawahi kuona unakaa na mwanadamu mstaarabu kama Waziri Mkuu tuliyenaye sasa hivi, ni mstaarabu mno, ni mchapakazi na mstaarabu, kila mtu anamsikiliza."

"Sasa mimi nikasikia maneno maneno unajua bwana, eenh! Waziri Mkuu sasa amemaliza vipindi viwili akienda huku sasa, akiwa mbunge anafanyaje kama sio Waziri Mkuu? Kwani kuna hoja gani, mbona tumewaona watu wengi tu, Mzee Malechela, tumeona Marehemu Lowassa wanakuwa Mawaziri wakuu na wakaa humu bungeni? Tunamuomba Waziri Mkuu Mkuu arudi Bungeni, arudi, habari ya Vyeo Mungu atajua, yeye arudi bungeni, ni mstaarabu mno.Anafanya kazi usiku na mchana kila Jimbo la Mbunge ameshaenda."

Tunamuombea huko anakotokea arudi bungeni tukaye naye asaidie nchi. Lakini Mheshimiwa Mwenyekiti Waziri Mkuu amepita vipindi vigumu mno, alikuwa amefanya kazi na marehemu Magufuli, amekuja kwa mama amefanya naye kazi amemuonesha kila mahali, nchi leo ipo salama."

Huyu mbunge anaitwa nani?
 
Huyu bingwa jina lake likikosewa wakati anarudia la saba , wazazi wake walimwiita kibwetere badala yake akaandikwa Getere
 
Poor Africa vijana wa ruangwa hawawezi kumpokea ubunge kasimu ?kisa eti mstarabu umewai ona anakemea utekaji unaondelea nchini , IPO wapi Jf ya zamani Ile..
 
Kuongeza ajira vizuri apumzike sababu anatunzwa maisha na anapata mafao makubwa asilimia 80 ya waziri mkuu aliyeko madarakani

Atoe hiyo nafasi ya ajira kwa watu wengine kama alivyofanya Makamu wa Raisi Philip Mpango

Pia ni vizuri Raisi mpya anapoingia madarakani awe na timu yake mpya ya kuanzia wabunge mawaziri nk

Mwacheni Mama aunde timu mpya.
Na mbunge aliyetoa hilo wazo naye asirudi bungeni ajira yake naye apishe wengine
 
Mbunge wa Bunda Vijijini, Boniphace Mwita Getere akizungumza Bungeni Aprili 10 amesema;

"Wengi mnakaa humu ndani Bungeni ila sijawahi kuona unakaa na mwanadamu mstaarabu kama Waziri Mkuu tuliyenaye sasa hivi, ni mstaarabu mno, ni mchapakazi na mstaarabu, kila mtu anamsikiliza."

"Sasa mimi nikasikia maneno maneno unajua bwana, eenh! Waziri Mkuu sasa amemaliza vipindi viwili akienda huku sasa, akiwa mbunge anafanyaje kama sio Waziri Mkuu? Kwani kuna hoja gani, mbona tumewaona watu wengi tu, Mzee Malechela, tumeona Marehemu Lowassa wanakuwa Mawaziri wakuu na wakaa humu bungeni? Tunamuomba Waziri Mkuu Mkuu arudi Bungeni, arudi, habari ya Vyeo Mungu atajua, yeye arudi bungeni, ni mstaarabu mno.Anafanya kazi usiku na mchana kila Jimbo la Mbunge ameshaenda."

Tunamuombea huko anakotokea arudi bungeni tukaye naye asaidie nchi. Lakini Mheshimiwa Mwenyekiti Waziri Mkuu amepita vipindi vigumu mno, alikuwa amefanya kazi na marehemu Magufuli, amekuja kwa mama amefanya naye kazi amemuonesha kila mahali, nchi leo ipo salama."

MATAPELI ninyi.
 
Huyo jamaa getere are we maua yake kwa kusema ukweli na arudi na kofia ile ile ya uwaziri mkuu. Mbona samia kaludi walioanza pamoja wale wa ngazi za juu kama hajafa inabidi aludi tu ♥
 
Mbunge wa Bunda Vijijini, Boniphace Mwita Getere akizungumza Bungeni Aprili 10 amesema;

"Wengi mnakaa humu ndani Bungeni ila sijawahi kuona unakaa na mwanadamu mstaarabu kama Waziri Mkuu tuliyenaye sasa hivi, ni mstaarabu mno, ni mchapakazi na mstaarabu, kila mtu anamsikiliza."

"Sasa mimi nikasikia maneno maneno unajua bwana, eenh! Waziri Mkuu sasa amemaliza vipindi viwili akienda huku sasa, akiwa mbunge anafanyaje kama sio Waziri Mkuu? Kwani kuna hoja gani, mbona tumewaona watu wengi tu, Mzee Malechela, tumeona Marehemu Lowassa wanakuwa Mawaziri wakuu na wakaa humu bungeni? Tunamuomba Waziri Mkuu Mkuu arudi Bungeni, arudi, habari ya Vyeo Mungu atajua, yeye arudi bungeni, ni mstaarabu mno.Anafanya kazi usiku na mchana kila Jimbo la Mbunge ameshaenda."

Tunamuombea huko anakotokea arudi bungeni tukaye naye asaidie nchi. Lakini Mheshimiwa Mwenyekiti Waziri Mkuu amepita vipindi vigumu mno, alikuwa amefanya kazi na marehemu Magufuli, amekuja kwa mama amefanya naye kazi amemuonesha kila mahali, nchi leo ipo salama."

Huyo mbunge ni mpumbavu kama wapumbavu wengine
 
Bongo bahati mbaya sana yaani kuna mazee yamevimbiwa madaraka wala hayajui tena nini kiliwapeleka bungeni na hawa ndio wako mstari wa mbele kuua future ya vijana , nimesikiliza hoja za hawa mabwanaaaaaa nimeona bila mabadiliko nchi hiyo kuendelea sahau, how on earth jitu linatumia posho za wananchi kuongea utumbo? watu wakitaka watu serious mnawaaakaaaaaaa ohhhh wanaleta machafuko, mafiisiiemu kwakweli bila dola hamtoboi hata kata moja.
 
Vinatanguliza njaa kuliko uzalendo,tenaa kwa nyakati hizii vimewehukaa vibunge vyotee. Vinawazaa vinarudijee Koo vinashobo na yoyote.Kiukweli Taifa litaokolewagwa na Jeshii tu yaan JW siku wakiifurusha sisiemu.Otherwise maendeleoo sitahiki kwa raia ni zero.
 
Back
Top Bottom