Mbowe,wahamasishe vijana CHADEMA wafanye kazi kujiingizia kipato

Wito kwa Mbowe,tafadhali wahimize wafuasi wa Chadema kufanya kazi ili wajikimu kwani wengi wanafikiria kutofanya kazi wanamkomoa Rais Magufuli na CCM.

Wimbi kubwa la vijana wanaojifanya wanaharakati na wengine ni watu wazima wameacha shughuli za kiuchumI na ajira wanafanya siasa zisizo na Kipato kwa ahadi hewa toka kwa viongozi wa Chadema ambao wenyewe wanafanya biashara na kilimo,huku wakiwarubuni vijana waache ajira ili "wajenge chama" matokeo yake wame kuwa ombaomba.

WakatI Umefika Mbowe u wa ambie UKweli la sivyo siku akili zikiwajia hawatahitaji kingine zaidi ya roho yako.

Haya matusi Kaka, kwa hiyo wana Chadema vijana wengi hawafanyi kazi? hemu nenda mahali mingi CCM imeshinda kama ujakuta mabao na draft saa 5 mchana wakati wa kazi.
 
Kwani wewe ndiyo unawalisha? Wewe mwenyewe kutwa nzima unashinda kutunga umbea mitandaoni kazi unafanya saa ngapi au ndiyo Lumumba bk7?
 
Akiwahamasisha wafanye kazi atawapata wapi watumwa wa kisiasa?????????
 
Kule Songwe uwezekano wa kuoata tena viti maalumu imekwisha julikana kuwa haupo tena hivyo unajenga mazingira kama ya kina Makonda na Slow slow kuwashambulia sana Mbowe na Lowassa ili ufikiriwe nafasi ndani ya chama hapo baadae.
Bahati mbaya hoja zako ni za kipuuzi na zina backfire na kuharibu image ya chama hichohicho unacho tafutia kupata kiki.
You are totaly liability to ccm
 
Wewe na akili zako timamu unasubili uhamasishwe kufanya kazi ndipo ukafanye??? Kweli tanzania kupata ukomboz bado sana. Mana vijana wenye mawazo kama hayo bado hawajakomboka kifkra....
 
Wanasema elimu yetu insshida!!!
Mwalimu wa entrepreneurship wa Chuo hana hata duka la reja reja!
 
Ha ha ha, mkuu sitaki ugomvi na mkubwa wa mambo ya humu ndani Le jenerali Savimbi maana ilikuwa pumziko lake wakati fulani akalitema. Sasa pumziko liitwe tena mbilikimo? Mzee huko hunipati! Labda useme yule anayefanana na mbilikimo? Hapo hata nikisema ndio, sii ni kufanana tuu?
Jitahidi upate shughuli ya kufanya kuliko kufanya kazi ya kutukana humu
 
Jitahidi upate shughuli ya kufanya kuliko kufanya kazi ya kutukana humu
Nina shughuli ya kipato kikubwa na hata wabunge wenzako senior wanapata misaada toka kwangu. Hasa wa ccm ambao wengi tuu ni marafiki zangu. Wewe ni mchafu kisiasa kwani unapenda kupotosha na unawatukana sana viongozi kwa vile unajuahawawezi kujibu upuuzi wako. Nimejitoa kukufundisha uwe na adabu na tutaendelea kukuweka wazi na kuwaambia wabunge wenzako wajue kuwa unafanya upuuzi gani huku kwa majina ya bandia.
Ukijirekebisha na kuleta michango yenye tija ( bila kujali itikadi kwani kila mtu kuwa na itikadi yake ni haki) tutaiheshimu na kuiona ni ya maendeleo na sio huu upuuzi wa kila siku Mbowe mara Lowassa. Waguse kama kina Sugu vijana wenzako uuone moto wao.
 
Back
Top Bottom