Siasa siyo uaduni yapasa kugutuka kuwa karne ya sasa watanzania hawana budi kuwa na mawazo endelevu, unapofukuza mtu uanachama haina maana kuwa amekatazwa au chama kingine hakiwezi kumpokea kutokana na kile alicho tuhumiwa nacho, na kazi ya Kiongozi wa chama ni kuhakikisha chama kinakuwa na kuongezeka kwa idadi ya wananchama ambao baadae ni matunda ya kupata ushindi.
Unadhani unapo mkataa mtu kama Sophia Simba katika chama unawakataa watu wangapi? kumbuka kuna watu wako nyuma yake ambao wanamwamini kwa kile anachokisema,,amekuwa waziri na amekuwa kiongozi wa wamama kwa hiyo ni mtu mwenye ushawishi mkubwa sana hasa katika mambo ya siasa za Tanzania,,,,sijaona tatizo kwa walifukuzwa CCM kuhamia CDM maana wanaongeza nguvu na idadi ya wapiga kura,,,,,,,
Dah!!! Hiyo kweli ni CDM ya miaka ileeeeee!!! au mleta uzi ni Ccm, hata hivyo sishangai kama walimpokea EL yawezekana ikawa hivo, sasa mtu kama S. Simba ataleta nini cha ziada ndani ya chama, CDM tunataka watu wapya wenye mawazo mbadala!!!
Mnajua sana kubadili gia angani! Eti unamuingiza Yesu kwenye ishu ya kijinga namna hii! Nyie si ndio mlipiga kelele sana kuhusu baadhi ya hao kuwa wanawauzia ARV fake!! Leo wamekua mashuja na soon mtawaita makamanda! Ha ha ha ha ha!
siasa niwatu nyinyi kataeni watu alafu mjiite chama cha siasa sijui mnafanya siasa na kinanani kama watu mnawafukuza kumbe ndio maana lisu anawaambiaga ccm cyo chama cha siasa ni chama dola kumbe kweli fukuzeni wote weje kwetu na jatutawaacha hata mmoja
Dah!!! Hiyo kweli ni CDM ya miaka ileeeeee!!! au mleta uzi ni Ccm, hata hivyo sishangai kama walimpokea EL yawezekana ikawa hivo, sasa mtu kama S. Simba ataleta nini cha ziada ndani ya chama, CDM tunataka watu wapya wenye mawazo mbadala!!!