THINKINGBEING
JF-Expert Member
- Aug 9, 2010
- 2,779
- 1,304
Kwa hoja hiyo siungi mkono kuwajibika kwa Mbowe. Ila nataka awajibike kwa kutupotezea agenda yetu kuu ya vita dhidi ya ufisadi.
Nadhani tatizo la unafiki na ulaghai lipo kwa Watanzania wote.Sijawahi na sitowahi, wala kujaribu kuwaamini Wachagga kwenye jambo lolote.
Nadhani tatizo la unafiki na ulaghai lipo kwa Watanzania wote.
Kusema ni tatizo la wachaga pekee ni kutowatendea haki.
Mbowe anatakiwa atimize ahadi yake!
Naona unaota ndoto za mchana.CHADEMA inamilikiwa na wanachama Hai wakiongozwa na Mzee Mtei!
Hasa mchagga Mbowe si wa kumuamini kabisaaaa.Sijawahi na sitowahi, wala kujaribu kuwaamini Wachagga kwenye jambo lolote.