Mbowe: Tatizo la Upinzani ni kukosa uvumilivu wa kusubiri, Wabunge wakishapoteza Kipato

===
Akizungumza katika kipindi Cha Morning Trumpet Mwenyekiti anayemaliza muda wake Freeman Mbowe amesema wakati akina Lemma, Lissu, Heche na Msingwa wakiwa wabunge hawakuwa na kelele hizi za kutaka madaraka.

Mbowe anafikiri kinachoendelea ndani ya CHADEMA sasa ni matokeo ya Vijana wake kuwa na Uchumi mbaya (njaa) ndio sababu wanataka kumwondoa leo.

===
Na yeye anataka abaki sababu hana njaa!😂
 
===
Akizungumza katika kipindi Cha Morning Trumpet Mwenyekiti anayemaliza muda wake Freeman Mbowe amesema wakati akina Lemma, Lissu, Heche na Msingwa wakiwa wabunge hawakuwa na kelele hizi za kutaka madaraka.

Mbowe anafikiri kinachoendelea ndani ya CHADEMA sasa ni matokeo ya Vijana wake kuwa na Uchumi mbaya (njaa) ndio sababu wanataka kumwondoa leo.

===
This logical fallacy is called ad hominem.

An ad hominem attack happens when someone does not address the points raised, but focuses on attacking the person raising the points.
 
===
Akizungumza katika kipindi Cha Morning Trumpet Mwenyekiti anayemaliza muda wake Freeman Mbowe amesema wakati akina Lemma, Lissu, Heche na Msingwa wakiwa wabunge hawakuwa na kelele hizi za kutaka madaraka.

Mbowe anafikiri kinachoendelea ndani ya CHADEMA sasa ni matokeo ya Vijana wake kuwa na Uchumi mbaya (njaa) ndio sababu wanataka kumwondoa leo.

===
Daaah nani kamloga mwenyekiti
 
===
Akizungumza katika kipindi Cha Morning Trumpet Mwenyekiti anayemaliza muda wake Freeman Mbowe amesema wakati akina Lemma, Lissu, Heche na Msingwa wakiwa wabunge hawakuwa na kelele hizi za kutaka madaraka.

Mbowe anafikiri kinachoendelea ndani ya CHADEMA sasa ni matokeo ya Vijana wake kuwa na Uchumi mbaya (njaa) ndio sababu wanataka kumwondoa leo.

===
Nampa taarifa kuwa Lema ataongea saa 5 na Maigwa ataongea ma vyombo vya habari soon.
Hapa patamu sasa
 
Hebu mhurumieni Mbowe.
Kwani kwenye hayo maongezi yake na wanahabari kila kukicha, huwa hasemi vipaumbele vyake endapo atakabidhiwa mitano tena?

Naona mnachagua zile futuhi zake na kuzimwaga mitandaoni

Tupeni japo hata point moja ya msingi anayowaahidi wanaCHADEMA
wanamchosha kila siku press na siku zimebaki nne
 
Hebu mhurumieni Mbowe.
Kwani kwenye hayo maongezi yake na wanahabari kila kukicha, huwa hasemi vipaumbele vyake endapo atakabidhiwa mitano tena?

Naona mnachagua zile futuhi zake na kuzimwaga mitandaoni

Tupeni japo hata point moja ya msingi anayowaahidi wanaCHADEMA
wanamchosha kila siku press na siku zimebaki nne
 
===
Akizungumza katika kipindi Cha Morning Trumpet Mwenyekiti anayemaliza muda wake Freeman Mbowe amesema wakati akina Lemma, Lissu, Heche na Msingwa wakiwa wabunge hawakuwa na kelele hizi za kutaka madaraka.

Mbowe anafikiri kinachoendelea ndani ya CHADEMA sasa ni matokeo ya Vijana wake kuwa na Uchumi mbaya (njaa) ndio sababu wanataka kumwondoa leo.

===
Haahaa kama kasema kweli hayo akalee wajukuu kashachoka.Mbowe anazidi kupotea
 
Leo ndio nimeamini JF imejaa upotoshaji, ukimsikiliza Mbowe direct utamuelewa vizuri sana, siyo hawa wanaotafuta heading za kuleta taaruki Mbowe amewaongelea kwenye interview yake, watu kumi wanaweza kutumia AI kutuma comment 1000 kuleta taharuki kwenye jamii kumbe ukweli haupo hivyo.

Mbowe ana kitu cha ziada.
Unamaanisha sisi hatujasikiliza?
 
Mhmmmm....lete ushahidi wenyekiti kafika huko!???
Umeshawahi kuhudhuria mihadhara ya kina mazinge?

Ndio huyu mleta mada, kwenye Biblia Yesu alikuwa anakwenda kwenye masinagogi kama ilivyo desturi yake Mazinge anakwambia simama hapohapo.....

Sinagogi ni nini? Majibu ni msikiti wa Wayahudi, swali msikitini wanaenda watu gani? Jibu waislamuuuu

Mazinge: kwahiyo Yesu alikuwa mwislamu, msilimishe huyoo.

Hii ndio mikato anaileta aliyeanzisha hii thread bahati nzuri leo nipo home nimeangalia interview yote.

Mbowe ameongea mambo makubwa sana kwenye interview mpaka ya Lowasa aliletwa Chadema na Gwajima na Dr Slaa.

Lisu ameshiriki vikao vyote vya Mboww kuleta mrejesho kutoka kwa Rais.

Lisu kikatiba ndio mkuu wa nidhamu ndani ya chama ana mamlaka ya kumuagiza katibu mkuu abcd.

Tuhuma za nidhamu na rushwa zipo chini ya Lisu kikatiba na ana mamlaka yote.

Siyo vikao vyote anaendesha Mbowe hata Lisu huwa anaendesha vikao mpaka kikao cha mwisho cha kamati kuu kaendesha Lisu.
 
Mbowe ndio ana Njaa Kali sana YEYE na Yeriko Nyerere 😂

Ukiona MTU mzima anaishi Kwa Jina la Baba yake Ujue ana Njaa iliyopitiliza

Huwa nawakubali Dr Mwigullu PhD na Kafulila aka Tumblr Kwa sababu husimama Kwa miguu yao Wenyewe 🐼
Mbowe ndiye mwenye njaa zaidi, kutwa kuzurura Ikulu
 
Kumbe huyo mzee nae dishi limepeta kutu eeh!!! Sasa kama yeye kashiba si angetoka kistaarabu kwa kujiuzulu?
 
This logical fallacy is called ad hominem.

An ad hominem attack happens when someone does not address the points raised, but focuses on attacking the person raising the points.
morning trumpet kinarushwa na redio gani?
 
Nimemaliza kuangalia hiyo exclusive interview ya Mbowe almost one hour, usilishwe matango pori.

Anayeta kujuwa Mbowe ni jiniazi
atafute hiyo interview Youtube umsikilize mwenyewe jamaa alivyo na utulivu mkubwa na wala hafokifoki.

Na ukitumia tu common sense ya hiyo interview Mbowe anachaguliwa tena.
Kwamba Mbowe ni genius? Duuh hakika tutatofautiana sana uelewa
 
===
Akizungumza katika kipindi Cha Morning Trumpet Mwenyekiti anayemaliza muda wake Freeman Mbowe amesema wakati akina Lemma, Lissu, Heche na Msingwa wakiwa wabunge hawakuwa na kelele hizi za kutaka madaraka.

Mbowe anafikiri kinachoendelea ndani ya CHADEMA sasa ni matokeo ya Vijana wake kuwa na Uchumi mbaya (njaa) ndio sababu wanataka kumwondoa leo.

===
Mkuu tulpia clip hiyo kabla watu hawaja anza kuchangia
 
Back
Top Bottom