Mbowe awakumbusha viongozi waliovimbiwa madaraka nchi hii inaongozwa kwa mujibu wa katiba.

.
sasa waziri mkuu anaogopa nini wapinzani kuongea na wapiga kura wao. au ni hofu ya mkuu wa kaya kupewa kura za upinzani na upinzani kupewa za ccm? ccm hubirini uzushi wenu kwa wananchi na upinzani wao waueke ukweli wa mambo hakafu wananchi ndio watakao amua nani mkweli. sijaweza kwa kweli sasa hivi kitambua mpinzani ni nani kati ya ukawa na ccm. Hasa baada ya kushuhudia chama cha ccm kikifanya shughuli zake kwa hofu kubwa na kukiogopa kivuli chake. Haki haiombwi, haki inachukuliwa hilo mnapaswa enyi watawala msio viongozi kulitambua hilo.
.

Akili ndogo haijifichi, eti wapinzani kupewa kura za ccm na ccm kupewa za wapinzani! How pathetic! Hata hesabu hujui! Chadema imepata wabunge wangapi wa kuchaguliwa na ccm wangapi? Iweje mkose wabungu mdai eti mlishinda urais? Kwa hiyo mngeundaje serikali bila wabunge wa kutosha? Au mlitaka serikali ya mseto? Nyumbu jitambue.
 
Hizo sifa za mama yako mzazi unamtangazia nani?
Nasikia Bavicha wanampango wa kuandamana hadi kwa msajili kulazimisha Mbowe kujiuzulu baada ya kupiga deal na lowasa na mpango wa kumpa Sumaye ukatibu mkuu...
 
Nasikia Bavicha wanampango wa kuandamana hadi kwa msajili kulazimisha Mbowe kujiuzulu baada ya kupiga deal na lowasa na mpango wa kumpa Sumaye ukatibu mkuu...
Ndiyo mkuu kuna Bavicha wa mikoani wataka kandamama kina laki si pesa.

Lakini Bavicha kaskazini kina Matola wao ni mateka wa Mbowe wapo tayari kufa kwa ajili ya Mbowe.

89% ya Bavicha Mbowe kawashikia akili.
 
Last edited by a moderator:
Aisey! Kwahiyo siasa siyo kazi...kwa nini wanasiasa wanalipwa. Ungejenga hoja yako bila kuwaita wenzakonwendawaximu na kuandika kwa maandishi mekundu ningekuelewa, lakini ulichokifanya kinanifanya nijiulize mwendawazimu ni nani hasa! Kuna kipindi tuliskkia wanasiasa wakisema kuna vyama vya siasa vya msimu ambavyo huonekana wakatinwa uchaguzi tu; sasa ni kinyume wanajaribu kulazimisha kuvifanya viwe vya msimu! Nafikiri acheni wanasiasa wafanye kazi wanayotakiwa kufanya, wote kwa usawa bila upendeleo.

Ni siasa hizi ndiyo zilitusaidia kumpata Rais tunayemwona bora sasa, la sivyo pengine tungekuwa na kiongozi wa ajabu. Na pia yanayofanyika yasingekuwa yanafanyika - maana yalikuwa yakisemwa na wapinzani na watawala wakiyapinga kwa nguvu zote!

Mkuu utanipiga kichomi bure nimesema kila jambo linawakti wake na ratiba yake kulikuwa na muda wa kura za maoni na ukaja muda wa kampeni kisha ukaja muda wa uchaguzi ukapita sasa tena tuanze kusikia milio na mispika ikiita watu kwenye mikutano tumechoka tufanye kazi za maendeleo wale wabunge waliochaguliwa watawashukuru wapiga kura wao kupitia media hakuna muda wa kufunga ofisi tena kumsikiliza mwana siasa tusubiri 2020 kwa sasa hapana ni watage of time.
 

Mkuu naomba nikukumbushe kwamba hapo ulipo umeshaona gari zimeandikwa DFP na kuna charitable organization nyingi sana zinazotoa misaada kwa watanzania bila kutaka hata ujumbe wa nyumbakumi wala kuzunguka nchi nzima, mfano yule tajiri wa microsoft ya bill gate ametoa misaada mingi sana na mdogowangu amenufaika na msaada huo akaenda kusoma Australia bila kuhoji hayo unayohoji wewe hivi kila kitu serikali itaweza? Sikatai watchdog kufanya shughuli zao na kwa hapa Tanzania wamefanya vizuri sana kuanzia mwaka 2006 mpAka mwaka huu binafsi sikuwa najua chochote kuhusu EPA RICHMOND ESCROW NA MENGINEYO bali bila upinzani naapa hayo yasingejulikana, sipingi uwepo wa wapinzani lakini kwa hili la kuzunguka nchi nzima kushukuru wapiga kura hata wewe utakuwa unashabikia kwa ushabiki TU lakini ukitumia akili kufikiri nchi ilisimama kwa miezi zaid ya sita kwa ajili ya siasa ili apatikane Rais wa awamu ya tano Uchaguzi umeshakwisha na mshindi kapatikana ndugu yangu bado unataka watu wafunge maduka tena kwenda kwenye mikutano ya siasa eti sababu demokrasia mhhh ndugu yangu tuwatendee haki watanzania tuwaache wafanye kazi sasa na muda wa shule kufunguliwa umefika kila kitu kina ratiba yake na ukomo wake.

KWA HILI NALIPINGA KWA NGUVU ZOTE NA KWA TAARIFA YAKO IKUNGI KWA TUNDU LISU HAKUNA MAENDELEO HASA KATIKA SUALA LA ELIMU KWAKUWA ALIWAKATAZA WANANCHI KUCHANGIA NGUVU ZAO HASA KWENYE UJENZI WA MAABARA HAPO ANAYEUMIA NI MWANANCHI MWANASIASA ANAPETA TU KWAKUWA MWANAYE ANASOMA NJE YA NCHI Vitu vingine hatuhitaji Phd kuvitambua na matokeo yake kwa hili kataa tumia akili yako vizuri.

kwanza nianze na hoja yako ya mwisho kuwa ikungi kwa Tundu hakuna maendeleo kwa sababu hawalipi kodi.
hii ni hoja ya kijinga kwani maeneo mengi ya Tanzania wananchi wanalipa kodi na hakuna maendeleo nenda vijiji vya bagamoyo anakotoka rais mstaafu kuna shule nzima ya msingi kadhaa hazina vyoo na kodi wanalipa wazazi wa watoto hao.

nchi imesimama kwa sababu ya Lowassa hiyo si hoja ya kisheria ya kuweza kuzuia demokrasia na haki ya kukusanyika kutoweza kufanya kazi cha msingi ni usalama wa raia ambao Lowassa amethibitisha wazi kwa maandamano makubwa ya amani na mikutano yake mingi kuwa ya amani.
 
kwanza nianze na hoja yako ya mwisho kuwa ikungi kwa Tundu hakuna maendeleo kwa sababu hawalipi kodi.
hii ni hoja ya kijinga kwani maeneo mengi ya Tanzania wananchi wanalipa kodi na hakuna maendeleo nenda vijiji vya bagamoyo anakotoka rais mstaafu kuna shule nzima ya msingi kadhaa hazina vyoo na kodi wanalipa wazazi wa watoto hao.

nchi imesimama kwa sababu ya Lowassa hiyo si hoja ya kisheria ya kuweza kuzuia demokrasia na haki ya kukusanyika kutoweza kufanya kazi cha msingi ni usalama wa raia ambao Lowassa amethibitisha wazi kwa maandamano makubwa ya amani na mikutano yake mingi kuwa ya amani.

Ndugu yangu sina sababu ya kubishana na wewe amini unachoamini na mimi nibaki na ninachoamini nakutakia boxing day njema na Lowasa wako fisadi. Kwani hata mlevi wa ngongo ukimwambia gongo inauwa atakuambia wote wanaokufa wanakunywa gongo? kwa hiyo sikuwezi
 
komment nzuri ila pia kama kiongozi wa chama naomba ajibu hoja ya kuhamisha billion 2 kutoka tanzania na kupeleka nje ya nchi.kukaa kimya kwake inaweza kukiumza chama chetu kwa hoja kuwa ni chama kinachoongozwa na wasafirishaji pesa kinyume cha sheria

Kama alifanikiwa kweli kutorosha pesa nyingi hivi ina maana hii nchi haikuwa na utawala makini. Huu ni umbea na kuishiwa hoja. Kama una uahahidi upeleke panapo stahili ili achukuliwe hatua.
 
Ndiyo mkuu kuna Bavicha wa mikoani wataka kandamama kina laki si pesa.

Lakini Bavicha kaskazini kina Matola wao ni mateka wa Mbowe wapo tayari kufa kwa ajili ya Mbowe.

89% ya Bavicha Mbowe kawashikia akili.
Bavicha kaskazini ndio hujifanya wenye chama wale wa kanda za ziwa na pwani wanaonekana ni fisi maji
 
Last edited by a moderator:
Kweli wewe ni carbon , hivi Unajua maana ya siasa? Siasa ni maisha, ni uchumi,ni elimu nani taaluma pamoja na uongozi.Watu kama wewe na Majaliwa mnabidi mrudi darasani mkajifunze nini maana ya siasa. Chama au wanasiasa kua na mikutano ya umma ni haki ya kikatiba na kisheria sasa Majaliwa atwambie ni lini bunge au mahakama ilibadirisha hiyo hali na sheria.
 
komment nzuri ila pia kama kiongozi wa chama naomba ajibu hoja ya kuhamisha billion 2 kutoka tanzania na kupeleka nje ya nchi.kukaa kimya kwake inaweza kukiumza chama chetu kwa hoja kuwa ni chama kinachoongozwa na wasafirishaji pesa kinyume cha sheria
umeniwahi kidogo tu!tupo pamoja mkuu.
 
Mwacheni mbowe jaman...huyo jamaa anakili baraah....ivi unajua ameajili watu wangap na analipa kodi kias gan...kumbuken mbowe cyo mtumish wa sirikal...so hela zake profit oriented....wabane hao waliko serikaln...syo mbowe..ooh mbowe.....
 
Kabla ya kuwaambia watawala angeanza yeye kwa kufuata hiyo misingi ya demokrasia na ushindani wa hoja kwenye hicho chama chake?Haya mambo yaanzie ngazi ya vyama then huko juu yatajiset menyewe.Aache unafiki.
 
Nchi haiongozwi kwa umbea wa mitaani, kama una ushahidi peleka polisi, nchi ina vyombo vyote kamili vya ulinzi na usalama na wanaotakatisha pesa wote wanatiwa nguvuni. nipe mawasiliano yako tumrepoti Mbowe kwenye vyombo husika ili Taifa likome kuishi kwa umbea.

Time will tell-time is the best judge.Hata haya majipu yanayotumbuliwa leo siku kadhaa nyuma yalikuwa hayaonekani kama ni majipu,jipu hutumbuliwa linapokwiva.
 
Nchi haiongozwi kwa umbea wa mitaani, kama una ushahidi peleka polisi, nchi ina vyombo vyote kamili vya ulinzi na usalama na wanaotakatisha pesa wote wanatiwa nguvuni. nipe mawasiliano yako tumrepoti Mbowe kwenye vyombo husika ili Taifa likome kuishi kwa umbea.

Matola;
Ubarikiwe sana mkuu. Sijui tutatoka lini kwenye lindi hili la msiba wa umbeya umbeya tu. Wenye midomo mipana ka ya bata wanasimama na kuropoka na mtu anatoka nalo ka kwamba ni kweli.
LETENI HOJA SI VIOJA
 
kumbe anapiga biti ili ajisafishe kwa hizo 2 bilion! Bado zile 1.6 za escrow from mfadhili No.2 Rugemarila na yale mabilion toka kwa mfadhili No. 1 Edward Lowasa alizonunulia chama.

Nchi haiongozwi kwa umbea wa mitaani, kama una ushahidi peleka polisi, nchi ina vyombo vyote kamili vya ulinzi na usalama na wanaotakatisha pesa wote wanatiwa nguvuni. nipe mawasiliano yako tumrepoti Mbowe kwenye vyombo husika ili Taifa likome kuishi kwa umbea.
 
MBOWE AWATAKA WATAWALA KUHESHIMU MISINGI YA DEMOKRASIA
Akiandika katika ukurasa wake wa facebook, Mwenyekiti wa CHADEMA Mheshimiwa Freeman Mbowe amesema "walioko madarakani wanapaswa kutambua kuwa siasa haina msimu wala haianzi na kuishia wakati wa uchaguzi. Aidha, nawakumbusha kuheshimu misingi ya demokrasia ikiwemo, ushindani wa hoja, sera, mikakati na mipango na pia kutambua uwepo na uendeshaji wa mfumo wa vyama vingi si suala la utashi wa walioko madarakani bali ni haki ya msingi kikatiba na matakwa ya wananchi wanaotoa dhamana ya watu kukaa madarakani kuongoza kwa niaba ya wengine."
Angezungumzia pia demokrasia ndani ya vyama ni hitajio la kikatiba na si vinginevyo. Charity begins at home
 
Ushauri wa Mbowe ni mwendawazimu pekee anayeweza kuukubali kwa sababu ukisema siasa haina msimu maana yake utakuwa ni mwendawazimu kwa sababu kila kitu kinapangwa kwa ratiba na muda wake sasa kama tunafanya mambo bila ratiba ni wazi tutakuwa wote vichaa na kwa mwenye akili timamu atagundua mbowe anawategea wajinga waache kufanya kazi zao yeye aendelee kuwadanganya wakati yeye ni bilionea hata asipofanya kazi siku zote alizobakiza duniani hawezi kuadhirika lakini walalahoi wenzangu wanashangilia na kuunga mkono upuuzi wa mbowe, hivi kama kweli lengo lake ni hilo angeitisha waandishi wa habari na tv zote kisha wakatoa shukrani kwa waliowapigia kura bado nini kingeharibika???? Hizo gharama za kuzunguka nchi nzima kama kweli wana mapenzi mema na watanzania hizo fedha ambazo wangezitumia wazipeleke kwa yatima wazee na wagonjwa hospitalini wanaokufa kwa kukosa huduma Mungu angewabariki sana kuliko huo ufahari wanaouonyesha wakati wenzao wanakufa na njaa na magonjwa. Hovyo sana Mbowe and company

Wewe ndiye mwendawazimu 100% kwa sababu hata hujui hata maana ya siasa na hutambui kuwa kila kitu kinachofanyika ktk uso wa dunia ni siasa!!

Inaelekea wewe ni mwanafunzi wa kidato cha pili uliyekaririshwa tu!

Wewe unadhani Magufuli na huyo Majaliwa wenu wana practice nini kama sio siasa??

Huwezi kutenganisha "siasa" na "maendeleo" wewe mwanafunzi!!

Muhimu ni watu kufanya siasa safi na sio fitina!!
 
Back
Top Bottom