Jebel
JF-Expert Member
- Jul 10, 2021
- 347
- 2,327
Asante mkuu ngoja safari hii nitumie DAP pekee ukizingatia mbolea zenyewe sasahiv bei zipo juu
Mkuu kwa viazi mvringo kama unataka matokeo mazuri ni vema uendelee kuchanganya DAP+CAN.
Dap- inafanya vema sana kwenye mazao upande kwa kupandia
Urea- inafanya vema sana kukuzia
Can- inafanya kazi ya kuzalishia
Kwa hiyo ili viazi vizae vema na kuwa vikubwa vinahitaji CAN ndo maana wenyeji wako ambao kimsingi ndo wataalam no.1 wa Kilimo wamekuwa wakifanya hivyo. Amini usiamini mkulima ndiye mtaalam wa kwanza wa Kilimo.