Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,013
- 36,922
So, kwa maelezo yako ndoto si kitu halisi ni utabiri. Ni sawa?Nikiendesha gari kabisa, wakati huo niko mtoto Sina gari ,
So, kwa maelezo yako ndoto si kitu halisi ni utabiri. Ni sawa?Nikiendesha gari kabisa, wakati huo niko mtoto Sina gari ,
Ukisema ndoto ni utabiri pia ni sawa Kwa kuwa muda wa tukio la rohoni ndotoni ni nyuma au mbele ya tukio la mwilini sababu rohoni hakuna time.So, kwa maelezo yako ndoto si kitu halisi ni utabiri. Ni sawa?
Wapo wapi?Dragon wapo na vibwengo wapo.
Kutowaona vibwengo na dragon, haimaanishi kuwa hawapo.
Ok, tunawezake kuthibisisha maandiko hayo maandiko kuwa ni kweli?“Amin, nawaambia, sitakunywa tena katika uzao wa mzabibu, hadi siku ile nitakapounywa mpya katika Ufalme wa Mungu” (Marko 14:25).
Kwa hiyo kula mbinguni kupo kulingana na Yesu mwenyewe aliyeishi na anaishi mbinguni
Uliomba maandiko ya kusapoti, chakula mbinguni nimekupa Marko 14:25, unaomba tena uthibitisho!!Ok, tunawezake kuthibisisha maandiko hayo maandiko kuwa ni kweli?
Sasa maandiko si hata mimi naweza nikaandika tu kuwa juu ya mawingu kuna maparachichi matamu kuliko ya hapa duniani. Ili kitu kikubaliwe lazima kuwe na ushahidi...Uliomba maandiko ya kusapoti, chakula mbinguni nimekupa Marko 14:25, unaomba tena uthibitisho!!
Hiyo picha ilipigwa mitaa ya bustani wanayoishi weupeSasa mbona weupe weupe watupu? Sisi watoto wa kenge uwakilishi wetu kwenye picha haupo.
Au sisi hatuendi ? 😜
Yesu kristo awe njia na uzima wetu.Yawezekana nyakati hizi unapitia changamoto fulani, nakuombea usibaki kwenye hilo sononeko bali mtazame Mungu ukajipe tumaini kwake na mambo yako yatakuwa sawa.
Kikubwa mwanadamu pale alipo chagua kutomsikiliza Mungu na kuamua kufuata njia zake, Mungu alimpa uhuru wa kujiamulia mambo yake.
Shinda ni kwamba duniani kuna pande mbili zenye nguvu ya kwanza inaitwa NURU na ya pili inaitwa GIZA.
Kwa hiyo mwanadamu unaweza ukawa unapitia changamoto fulani kumbe ni upande wa GIZA unakutikisa ili utoke kwenye mstari mnyoofu.
Kataa kutumikia upande wa GIZA na uwe na tumaini kwa Mwenyezi Mungu ambaye kaandaa mazingira mazuri mbinguni kwa wote watakaoushinda upande wa GIZA na machukizo.
Jipe tumaini la kuwa miongoni mwa watakatifu watakao kuwemo kwenye Dunia mpya ijayo.
View attachment 3201461
View attachment 3201462
View attachment 3201463
View attachment 3201464
Kikubwa upande wa NURU uwe njia zako zilizo njema.
Yesu Kristo ndiye NURU ya ulimwengu na ndiye mlango wa kuingia mbinguni.
Ucha kuufanya moyo wako mgumu na ukakataa kujifunza kuhusu Yesu Kristo.
Ukimkaribisha Yesu katika maisha yako HOFU YA GIZA haitakuandama. Utaibuka mshindi na kuishinda Zinaa na uasherati, Pombe na Ulevi, Ushoga, Uchawi, mizimu, uabudu sanamu (uchawa), Mauaji, tamaa ya madaraka, hofu za kidini, dharau, matusi, masengenyo n.k
Tumwamini Yesu ili mapito yetu hapa duniani yawe ya nuru (utakatifu) na mwisho tukifa atupokee mbinguni kwa matarumbeta.
Yohana 14:6
[6]Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
View attachment 3201483
Nimekwambia dragons wapo,Wapo wapi?
Eleza Ulishawahi kuwaona wapi Dragons?
You need to restore your brain to factory settings.Nimekwambia dragons wapo,
Sasa kama huwaoni, Hilo ni tatizo lako.
Chochote chenye Jina kipo.
Kwa vile ufahamu wako umefungwa. Ukifunguliwa utaelewa tu. ninaomba Mungu akufungue ufahamu wako ujue umuhimu wa maneno haya ya mtumishi wa Mungu. Be blessed.Matumaini ya kijinga