ZigiZaga
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 951
- 1,072
hahahaaa! huyu nae amefoji Cheti huyu!Au ni mimi peke yangu ndio sijaielewa hii lugha?
hahahaaa! huyu nae amefoji Cheti huyu!Au ni mimi peke yangu ndio sijaielewa hii lugha?
Bila shaka ulisomea saint Joseph university au udom. Maana hata Jesca Magufuli kilaza anasoma UDOM,Sawasawa going on magufuli juhudi unazochokukua wewe na serikali yako tunaziona
lugha ya mwendokasi hiyo mkuu
Lipia laki 2 nanusu kwa Ras Simba; kwa kutumia mfumo wa N+S+T ndani ya wiki 3 utakuwa vizuri, usipoelewa hapo hutaelewa milele labda ukazaliwe upya UingerezaAu ni mimi peke yangu ndio sijaielewa hii lugha?
Hilo zoezi la vyeti likiingia DSM hakuna mtumishi ataponaSawasawa going on magufuli juhudi unazochokukua wewe na serikali yako tunaziona
Jeshini ndio usiseme akiamua kusaka wenye vyeti feki na vilaza zaidi ya robo tatu ya wanajeshi watafukuzwa kazi, hatari.Kuna kazi nyingi tu idara ya Afya/Hospitalini hazihitaji hata kujua kuandika sentesi moja ila semeni tunaenda na nyakati
Au ni mimi peke yangu ndio sijaielewa hii lugha?
Sawasawa going on magufuli juhudi unazochokukua wewe na serikali yako tunaziona