mtima nyongo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,947
- 2,047
Makubwa kumbe hata mkuu wa kaya nae ni "jipu"
mh jpm "sitawahangusha""Msema kweli mpenzi wa Mungu"
Hakuna msema kweli kwenye ununuzi kivuko na uuzaji nyumba za serikali huo upenzi kwa mungu unatokea wapi?"Msema kweli mpenzi wa Mungu"
vina uhusiano gani na maovu yaliyotendeka wizara ya Ujenzi kipindi cha magufuli?Hivi NCCR MAGEUZI bado kipo hiki chama?? mbatia angejiweka bize kukijenga maana karata aliyoitegemea ya Kafulila imegonga mwamba!!
Porojo zipi? Kivuko kibovu cha DSM -Bagamoyo ni porojo? Lugumi ni porojo?magufuri sio mwanasiasa ni mtendaji lazima waliozoea porojo washindwe kumwelewa.
planning utaziona matokeo yake mda sio mrefu.
Lugumi kapiga dili kila wizara isipokuwa wizara zingine alitumia majina ya kampuni zake zingine ana watetezi kila wizara, huyo ndiyo kiboko ya kutumbua majipu.Hahaha Mbona Lugumi amewakwamisha mnatetemeka ovyo...kapiga pesa inayozidi bajeti ya wizara ya Nape! Unalijua hilo?
Uhusiano ni Mbatia, hapo ndo nccr inapokuja!!vina uhusiano gani na maovu yaliyotendeka wizara ya Ujenzi kipindi cha magufuli?
Kumbe hata hukielewi, muulize Sumaye masuala ya nyumba!! Punguza povu!Hakuna msema kweli kwenye ununuzi kivuko na uuzaji nyumba za serikali huo upenzi kwa mungu unatokea wapi?
Hakuna msema kweli kwenye ununuzi kivuko na uuzaji nyumba za serikali huo upenzi kwa mungu unatokea wapi?
Kama. Unajua. Kiingereza The Queen has formally named the largest ever warship built by the Royal Navy by smashing a bottle of Whisky against it in a formal ceremony.
Ni kitu cha ajabu kuambiwa raisi wa nchi si mwanasiasa. Asingekuwa mwanasiasa asingefika hapo.magufuri sio mwanasiasa ni mtendaji lazima waliozoea porojo washindwe kumwelewa.
planning utaziona matokeo yake mda sio mrefu.
Hata hizo akili za kujua unachokiamini unazo basi?Sijawahi kumwamini Magufuri na wala sitamwamini katu.
Toka ameongea hiyo kauli kipi kakifanya??magufuli kwa sasa hana mpinzani anakubalika anaposimamia kile anachokiamini. sintasahau kauli yake hii
"tumeamua nchi iende na itakwenda atakayeamua kutukwamisha atakwama yeye"
upinzani wafanye siasa kwa lengo la kuisaidia serikali iliyoko madarakani kufanya kazi vizuri.
lakini kama lengo lao ni kuichafua serikali na raisi wake waonekane wachafu wananchi washindwe kuiamini serikali hawatafanikiwa.
wasubiri 2020.
Sawa sawa kabisa. Aukubali huo ubinadamu. Asijifanye malaika. Akiri alipokosea.Tulichagua Rais tukijua ni Binadamu sio Rais Malaika