Escotter20
JF-Expert Member
- Jul 20, 2020
- 469
- 853
Zilizotufikia....
Mayele ni mwekundu.
Viongozi wa simba wameua ndege wawili kwa jiwe moja,wameitumia safari ya Simba Misri kumsajili MAYELE.
unaambiwa Mayele katumiwa form ya usajili kwenye simu,na ameshasaini mkataba wa miaka mitatu ,hivyo kuanzia msimu ujao atachukua namba ya fred ambaye ataenda kwa mkopo katika timu ya PYRAMIDS
Hapo tunakuwa tumefanya EXCHANGE
BIG UP SANA UONGOZI WA SIMBA.
Mayele ni mwekundu.
Viongozi wa simba wameua ndege wawili kwa jiwe moja,wameitumia safari ya Simba Misri kumsajili MAYELE.
unaambiwa Mayele katumiwa form ya usajili kwenye simu,na ameshasaini mkataba wa miaka mitatu ,hivyo kuanzia msimu ujao atachukua namba ya fred ambaye ataenda kwa mkopo katika timu ya PYRAMIDS
Hapo tunakuwa tumefanya EXCHANGE
BIG UP SANA UONGOZI WA SIMBA.