The Supreme Conqueror
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 371
- 1,145
Mayele anatafuta kiki laiti angejua pale Yanga kapita Papii Shabani Nonda Mkongo DR Kama yeye Wala asinge bwabwaja Ila kwasababu hadi kusaka rizki ni kiki sisi Kama Wananchi wenye timu yao na utamaduni wao tunamtakia Kheri Ila tunamkumbusha tu kuwa karata aliyechagua ni garasa siyo turufu aibu ipo malangoni pake ataipata mda siyo mrefu
Mkumbusheni kwamba sisi Yanga ya 2024 hatuna muda kumpa Kiki tuko imara kama JK na siyo PK Wala EL katika ramani ya EA.
Mwambieni pale alicheza Hamisi Tambwe hawezi kufikia level zake,pale kulikuwa na Makambovic alienda na alirudi tukampokea kwa Upendo na heshima,alikuwepo Ben Mwalala alikuwepo Boniface Ambani achilia mzawa mwenye rekodi ya KIPEKEE Mohamed Hussein Mmachinga Daima.
Mayele tumempa huo ukubwa sisi mashabiki wa timu na Yanga ndiyo imemfikisha uko Misri akae kwa kutulia naona siku hizi mpira kaamua kuchezea kwenye mitandao badala ya uwanjani
Mkumbusheni kwamba sisi Yanga ya 2024 hatuna muda kumpa Kiki tuko imara kama JK na siyo PK Wala EL katika ramani ya EA.
Mwambieni pale alicheza Hamisi Tambwe hawezi kufikia level zake,pale kulikuwa na Makambovic alienda na alirudi tukampokea kwa Upendo na heshima,alikuwepo Ben Mwalala alikuwepo Boniface Ambani achilia mzawa mwenye rekodi ya KIPEKEE Mohamed Hussein Mmachinga Daima.
Mayele tumempa huo ukubwa sisi mashabiki wa timu na Yanga ndiyo imemfikisha uko Misri akae kwa kutulia naona siku hizi mpira kaamua kuchezea kwenye mitandao badala ya uwanjani