Mayahudi wenye msimamo mkali wateketeza kwa moto msikiti west bank, waacha ujumbe maandishi "msikiti utabomolewa , hekalu la kiyahudi litajengwa"

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
3,467
7,918
Wadau hamjamboni nyote?


Chanzo cha usalama cha Israel ambacho hakikutajwa jina kilichotajwa na Redio ya Jeshi kinasema kuwa tukio la kuchomwa moto na uharibifu wa msikiti katika mji wa Marda ulio Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan ulifanywa usiku kucha na Wayahudi.

Vyombo vya habari vya Palestina hapo awali vilichapisha picha za jumbe za grafiti kwenye eneo la tukio zikisema "Lipiza kisasi" na kunukuu mstari wa Zaburi: "Mwenye haki atafurahi aonapo kisasi." Ripoti hizo zilidai kuwa walowezi wenye msimamo mkali ndio waliohusika na kitendo hicho.

Wakati huo huo, kanda mpya iliyochapishwa na vyombo vya habari vya Palestina inaonyesha mlango na chumba kilichochomwa kwenye msikiti huo, kando ya maandishi yanayosomeka "Msikiti utaungua, Hekalu [la Kiyahudi] litajengwa."


Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:



December 20, 2024

Israeli security source reportedly says Jews behind torching of West Bank mosque

Today, 10:19 am

An unnamed Israeli security source cited by Army Radio says the torching and vandalism of a mosque in the West Bank town of Marda overnight was committed by Jews.

The source is quoted as saying there were no casualties in the incident, and there haven’t yet been any arrests.

Meanwhile, new footage published by Palestinian media shows a burnt door and room at the mosque, alongside graffiti reading “The mosque shall burn, the [Jewish] Temple shall be built.”

#صور | الأضرار التي لحقت بمسجد في قرية مردا شمال سلفيت بعد إحراقه من قبل المستوطنين الإسرائيليين pic.twitter.com/50UQv6HsM5

— المركز الفلسطيني للإعلام (@PalinfoAr) December 20, 2024

Palestinian media earlier published footage of graffiti messages at the scene saying “Revenge” and quoting a Psalms verse: “The righteous man will rejoice when he sees revenge.” The reports alleged that settler extremists were behind the act.

????Breaking: Israeli settler terrorists stormed the village of Marda in the West Bank, setting the mosque on fire while worshippers were praying inside, and spraying hateful graffiti. pic.twitter.com/EZQQmnzpA0

— Ihab Hassan (@IhabHassane) December 20, 2024
 
Magaidi mwaka huu wanalo,israel hacheki na nyani ni mwendo wa kuwatanguliza kobazi washezi kwenye dangulo la shetani wao wakalombane.

Hekalu lazima lijenge na mavamizi ya kiarabu magaidi lazima yauwawe na kuondoshwa.

YHW bless Israel.
 
Chukizo la uharibifu limekaa mahali pasipopasa lazima liondolewe. Hekalu la suleiman litajengwa.
 
Mwilslamu POPOTE anasali Dunia yote ni kama msikitini kwa muislam ila mizwazwa ndio amjui. Ukibomoa msikiti atasali ata chini popote wakiwa popote wanasali ona ata wakiwa uwanja wa Taifa wanacheki boll ikifika mapunziko utawaona wanaenda kusali pemben y Uwanja. Na akuna msikiti mnajua kwann Dini ya Kislamu ilijua kuna mizwazwa kama nyinyi mtawepo Dunian ivyo muislam akapewa utalatibu tofaut na uwezo weni wa akili. Uwez mzuiya Muislamu kusali ila utaweza tu kubomoa jengo lkn wao ata barabarani wanasali na ww ndio utakaewalinda. ALLAH alijua kuna mizwazwa inanunulishwa udongo mchanga maji itapokea uponyaji E WA lkn kwakua mizwazwa itasema imepona akitokea msema kweli watampinga. Mfano kisa cha Babu w Samunge mapema alitokea msema kweli Rostam akasema yeye alimpeleka ndugu yake akapate kikombe lkn akupona wala akuna akuna fotaut yoyote zaid kumsumbua mgonjwa adi kule alipo. Yakatokea mizwazwa ya Iman hooo ile tiba ya kiiimani watu wanapona kwa Iman ushuzi Ushuzi kibao. Kumbe Rostam aljitoa Sadaka kuwatetea wagonjwa wabakishwe Hospitailni mana famiria zilikuwa zinazongwa na Upepo wa Babu so kila Famiria wanakwenda kutoa Wagojjwa Hospitali kuwapeleka kwa Babu watake wasitake wataenda. Ikawa sili sili njian wagonjwa wanaakufa njia ya kurudi akuna msongamano wa hatari wenye magari wakawa watata wanasema makubaliona ni mgonjwa bwashee sio maiti maiti mimi Sibebi watu wamezikwa njian kibao nakumbuka ata marehemu mzee mrema alimjia juu Ristam akidai yeye pia kaenda kanywa kikombe! na kaanza kupona ugonjwa wake!!! Iman za Duni izi usipotumia akili yako ya kuzaliwa basi ni msiba mkubwa kwako na kwataifa. Tunza afya ya akili yko ikutunze kataaa uzwazwa.
 
Mwilslamu POPOTE anasali Dunia yote ni kama msikitini kwa muislam ila mizwazwa ndio amjui. Ukibomoa msikiti atasali ata chini popote wakiwa popote wanasali ona ata wakiwa uwanja wa Taifa wanacheki boll ikifika mapunziko utawaona wanaenda kusali pemben y Uwanja. Na akuna msikiti mnajua kwann Dini ya Kislamu ilijua kuna mizwazwa kama nyinyi mtawepo Dunian ivyo muislam akapewa utalatibu tofaut na uwezo weni wa akili. Uwez mzuiya Muislamu kusali ila utaweza tu kubomoa jengo lkn wao ata barabarani wanasali na ww ndio utakaewalinda. ALLAH alijua kuna mizwazwa inanunulishwa udongo mchanga maji itapokea uponyaji E WA lkn kwakua mizwazwa itasema imepona akitokea msema kweli watampinga. Mfano kisa cha Babu w Samunge mapema alitokea msema kweli Rostam akasema yeye alimpeleka ndugu yake akapate kikombe lkn akupona wala akuna akuna fotaut yoyote zaid kumsumbua mgonjwa adi kule alipo. Yakatokea mizwazwa ya Iman hooo ile tiba ya kiiimani watu wanapona kwa Iman ushuzi Ushuzi kibao. Kumbe Rostam aljitoa Sadaka kuwatetea wagonjwa wabakishwe Hospitailni mana famiria zilikuwa zinazongwa na Upepo wa Babu so kila Famiria wanakwenda kutoa Wagojjwa Hospitali kuwapeleka kwa Babu watake wasitake wataenda. Ikawa sili sili njian wagonjwa wanaakufa njia ya kurudi akuna msongamano wa hatari wenye magari wakawa watata wanasema makubaliona ni mgonjwa bwashee sio maiti maiti mimi Sibebi watu wamezikwa njian kibao nakumbuka ata marehemu mzee mrema alimjia juu Ristam akidai yeye pia kaenda kanywa kikombe! na kaanza kupona ugonjwa wake!!! Iman za Duni izi usipotumia akili yako ya kuzaliwa basi ni msiba mkubwa kwako na kwataifa. Tunza afya ya akili yko ikutunze kataaa uzwazwa.
Kajifunze kwanza kuandika vizuri,huku ukiacha paragraph,ndio uje ulete hizo habari zako za alla.
 
Back
Top Bottom