Mawasiliano yamekuwa magumu sana

Mr Suprize soma alama za nyakati Mkuu. Kaa kimya naye akutafute ukiona kimya ujue haikuwa riziki yako hivyo endelea kuchakarika kivyako vyako.
daaaah! Mimi nashukuru sana kwa ushauri wenu mnaozidi Kunipa, kiukwel tangu nimelileta tatzo hili humu MMU nimepata ujasiri mkubwa sana najikuta naanza kumsahau kiulaini maana hata picha zake kwenye gallery yang nimezitoa. ila najuta kumpigia sana simu hapo mwanzo; but anyway nitayashinda yote.
 
What goes around, comes around like a hula hoop

Karma is a bitch? Well just make sure that bitch is beautiful
 
Habari wana MMU!
Nimepatwa na tatizo la mawasiliano ndani ya siku za hivi karibuni katika mahusiano yangu na mtu nayempenda.
Tulikuwa tunawasiliana vizuri mwanzoni ila juzi mei mosi nampigia simu hapokei,text hajibu, iwe wasap or fb ila kote zinaonyesha seen,.
Jana nikamshirikisha rafiki yangu anisaidie nikampa namba akampigia akapokea, rafiki yangu akamuuliza kuna tatizo gan akajibu "hakuna tatizo lolote ila nipigie badae tuongee vizuri simu inakata chaji" hapo ilikuwa SAA 9 alasiri.
usiku jamaa akampigia Mara nyingi hakupokea akatuma text hakujibu..Leo tena jamaa yangu amempigia Mara kibao shemeji yake hajapokea simu wala kujibu text. Mimi mwenyewe pia nikafanya hivyo but sikufanikiwa hadi sasa.

location yake na Mimi tupo mbali kidogo kutokana na ishu za kikazi , pia taratibu za kuoana bado hazijakamilika so tupo kama wachumba. mahusiano yamedumu zaidi ya mwaka mmoja sasa.

Binafsi sijamkwaza kwa lolote baya ila nashindwa kumwelewa, na nini nifanye ili mawasiliano yangu na yeye yarudi kwenye mstari? nisaidieni wana MMU ila msinikatishe tamaa maana nampenda kweli
UKISHAPENDA SANA INAKUWA TATIZO-BE MODERATE,NDO UTAFAIDI VIZURI-ILA KWA HAYA MAELEZO YAKO INAWEZEKANA KASHAFANYA USAJILI MPYA NDO MANA ANAKUKWEPA
 
Mkuu mbona tatizo lako hilo rahisi sana tena usiwaze hii ndo JF ngoja waje washauri nguli wa haya mambo....

Hutojuta mkuu
Hahahah we jamaa umeniua mbavu sana man.. Hao washauri nguli nikiwafikiria nahisi kufa kwa kicheko maana Watamuongezea sindano tu hahahahahahahhaha noma sana, et hatojuta!
 
Mkuu hali kama yako imewahi kunikuta hv majuzi tu....kuna kidemu nipo nacho chuo mwenywe certificate mm nipo bachelor... Bwana wee tumeongea kila kitu mwanaume hadi nikaanza kutoka nae out kama Mara mbili hvi chaajabu alikuja kunichunia kama vle hatujuani hta ukimuona na ukamuita anavuga kama si yy ....nilivo msoma nikasema isiwe tabu nami nikaa kiyma hadi Leo japo huwa inanuma kwa gharama zangu alizo tumia halaf hat mchezo hakunipa......nawe sasa anza kuna nae making huyo demu wako kwan wanaanzanga kujaribu baadae wanapotea mazima ...kaza buti mkuu mademu wengi mno ,mm shataka mwngne najilia vyang taratibu...
Pole kwa hasara ya likizo bila malipo mkuu.
 
Mapenzi matamu sana lakini Yakishaanza Kuleta hayo Mambo Dah! Yanavuruga mind sana Kikubwa Endelea Kumsahau Dhen Ukipata Mwingine Ulete Uzi Tukufunze Kudumu Naye
 
Hahahah we jamaa umeniua mbavu sana man.. Hao washauri nguli nikiwafikiria nahisi kufa kwa kicheko maana Watamuongezea sindano tu hahahahahahahhaha noma sana, et hatojuta!

Ila kusema kweli washauri wazuri humu wapo ni ww kutuliza akili yako
 
Nivigumu kurudisha mawasiliano ktk msitari kama muhusika hataki na huenda kuna kirusi kimeingilia kati, kama ni rafiki tu kuwa mpole potezea, ila kama ni mke na watoto , jihusishwe na watoto tu!

Vinginevyo ukishupaza shingo itavunjika mkuu!
2ede304eb5b79c29f851c183fc849273.jpg
 
Kaa kimya tu wala usihangaike nae,halafu ni utahira tu kumfanyia visa mwenzio. Napenda ukiona humhitaji tena mwambie tu haijalishi ataumiaje lkn ujumbe atakuwa ameupata.
Piga kimya,fanya yako.
 
Habari wana MMU!
Nimepatwa na tatizo la mawasiliano ndani ya siku za hivi karibuni katika mahusiano yangu na mtu nayempenda.
Tulikuwa tunawasiliana vizuri mwanzoni ila juzi mei mosi nampigia simu hapokei,text hajibu, iwe wasap or fb ila kote zinaonyesha seen,.
Jana nikamshirikisha rafiki yangu anisaidie nikampa namba akampigia akapokea, rafiki yangu akamuuliza kuna tatizo gan akajibu "hakuna tatizo lolote ila nipigie badae tuongee vizuri simu inakata chaji" hapo ilikuwa SAA 9 alasiri.
usiku jamaa akampigia Mara nyingi hakupokea akatuma text hakujibu..Leo tena jamaa yangu amempigia Mara kibao shemeji yake hajapokea simu wala kujibu text. Mimi mwenyewe pia nikafanya hivyo but sikufanikiwa hadi sasa.

location yake na Mimi tupo mbali kidogo kutokana na ishu za kikazi , pia taratibu za kuoana bado hazijakamilika so tupo kama wachumba. mahusiano yamedumu zaidi ya mwaka mmoja sasa.

Binafsi sijamkwaza kwa lolote baya ila nashindwa kumwelewa, na nini nifanye ili mawasiliano yangu na yeye yarudi kwenye mstari? nisaidieni wana MMU ila msinikatishe tamaa maana nampenda kweli
Kaka mawasiliano ndiyo kila kitu katika uhai wa mahusiano au mapenzi au ndoa, bila mawasiliano ujue tayari ndoa imekufa hiyo!
 

Attachments

  • FB_IMG_1494006897056.jpg
    FB_IMG_1494006897056.jpg
    19.2 KB · Views: 28
Wengne hapa tangu Desember mwaka jana imenibidi tu ni

We muache aache kijaribu kusuluhisha mahusiano yake ikishindikana ndo aache asikilize watu. Kuna watu humu wanasema bila mawasiliano week ni mbali ila waulize wao hupiga mara ngapi?
 
Kaka mawasiliano ndiyo kila kitu katika uhai wa mahusiano au mapenzi au ndoa, bila mawasiliano ujue tayari ndoa imekufa hiyo!
Wengine ukiwapigia sana simu wanaona unaboa, halafu ukiamua kukatisha mawasiliano, anauliza mbona unipigiii?
 
Habari wana MMU!
Nimepatwa na tatizo la mawasiliano ndani ya siku za hivi karibuni katika mahusiano yangu na mtu nayempenda.
Tulikuwa tunawasiliana vizuri mwanzoni ila juzi mei mosi nampigia simu hapokei,text hajibu, iwe wasap or fb ila kote zinaonyesha seen,.
Jana nikamshirikisha rafiki yangu anisaidie nikampa namba akampigia akapokea, rafiki yangu akamuuliza kuna tatizo gan akajibu "hakuna tatizo lolote ila nipigie badae tuongee vizuri simu inakata chaji" hapo ilikuwa SAA 9 alasiri.
usiku jamaa akampigia Mara nyingi hakupokea akatuma text hakujibu..Leo tena jamaa yangu amempigia Mara kibao shemeji yake hajapokea simu wala kujibu text. Mimi mwenyewe pia nikafanya hivyo but sikufanikiwa hadi sasa.

location yake na Mimi tupo mbali kidogo kutokana na ishu za kikazi , pia taratibu za kuoana bado hazijakamilika so tupo kama wachumba. mahusiano yamedumu zaidi ya mwaka mmoja sasa.

Binafsi sijamkwaza kwa lolote baya ila nashindwa kumwelewa, na nini nifanye ili mawasiliano yangu na yeye yarudi kwenye mstari? nisaidieni wana MMU ila msinikatishe tamaa maana nampenda kweli

Ndugu yangu hatucjekani wakawangu naweza piga simu hata mara kumi haipokelewi na unaweza piga unapata inatumika akikuta miscall hapigi ..unaendelea kumtafuta ukimuuliza mbona hujanitafuta nimekuigia hujaona miscall zangu jibu sijaziona ..niliwahi muuliza kama hunipendi niambie sio lazima niwe na wewe katika mahusiano akanijibu hayo ndo majibu yako? nikamwambia ni mtazamo wangu akasema yeye hana jibu- siku hiyo nikampa vipande vyake wee..jibu ninalopata ni swa nimekuelewa ...duuh yaan wale tunaowapenda sisi hawatupendi na wale wanaotupenda sisi hatuwapendi.. Mungu nipe macho ya rohoni niweze kumuona anayenifaaa
 
Jamani , narudia tena, ukiona mawasiliano kati yako na mwenza wako, mke, mume, ni ya nadra au ya dharau, ujue wazi wewe ushatolewa moyoni , amewekwa mwingine, kwahiyo hapo chako hakuna tena, labda uombe MUNGU huko alikouweka moyo wake apate dhoruba hapo labda anaweza rudisha moyo kwako lakini si moja kwa moja.
Mawasiliano ni muhimu sana kwenye mahusiano , ndiyo yanayofanya uhai wa penzi, au ndoa.
 
Back
Top Bottom