Maumivu ya mapenzi ni zaidi ya msiba

mambo ya kutua kila kitu kwa msichana mm sijabarikiwa unatakiwa upende kwa tention broo.
 
Wewe ni poyoyo utapenda vipi mWanamke kuliko hata ndugu zako?! Nadhani hiyo sindano uliyoipata imekupa funzo kwamba damu ni nZito kuliko maji
 
Pole Mkuu,.ila huwa hatukumbuki kumtanguliza Mungu kwenye kila jambo letu ndio Maana yanatupata haya tunaumizwa/tunaumiza baada ya kutendwa ndo tunapokumbuka kwenda makanisani/msikitini lakini naamini tunajifunza kutokana na makosa yetu...."tumkumbuke muumba cku za ujana wetu,.mhubiri amesema!!!
 
Unalinganisha kifo na usingizi wewe. Sidhani kama umefiwa, huwezi kulinganisha coz hata haviendani.
Kilikuwa kiherehere chako kupenda na kuhudumia asiye mke, next time you've got to draw a line!!
 
Pole Mkuu,.ila huwa hatukumbuki kumtanguliza Mungu kwenye kila jambo letu ndio Maana yanatupata haya tunaumizwa/tunaumiza baada ya kutendwa ndo tunapokumbuka kwenda makanisani/msikitini lakini naamini tunajifunza kutokana na makosa yetu...."tumkumbuke muumba cku za ujana wetu,.mhubiri amesema!!!



Ahsante saana mkuu.yaani nmejifunza saana
 
nilipoteza best friend yangu mwaka jana,hamna maumivu kama yale mpaka leo kuna sehemu au k2 nikikumbuka hua namkumbuka yeye..usifananishe maumivu ya kufiwa na mapenz..ukifiwa hupat replacement.




Nimekusoma mkuu,ila inauma saana
 
Hebu niadisie ilikuwaje maana sijui kwa nini upende hivyo.......dunia ina watu bil 9.5....na zaidi.....ukipenda huyo mmoja kiasi hicho hao wengine watapendwa na nani......?......


Hahaaa,acha tu da preta.haya mapenz haya hayana shukrani kabisa
 
Back
Top Bottom