Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,177
- 4,302
Habari,
Nimekuwa nikijiuliza Mara kadhaa hii n kutokana na tv ninayoitumia Mana Kuna sehemu ya YouTube, neflex, Yan app nyingi tuu hii ikimaanisha nikiwaconnected vizuri na internet naweza angalia chochote nitakacho kupitia internet Kama technology inavyoruhusu.
Wajuzi swali kwenu Sasa kutokana na changamoto za kupata local channels na kuangalia mpira n gharama Sana siwezi itumia hii TV yangu kupata hizo channels na kufaidi kina sky sport, ESPN, Mtvbase ya USA, channel 0 ya south na nyingine nzuri bila kusahau Livestream?
Karibu mtutoe tongotongo
Nimekuwa nikijiuliza Mara kadhaa hii n kutokana na tv ninayoitumia Mana Kuna sehemu ya YouTube, neflex, Yan app nyingi tuu hii ikimaanisha nikiwaconnected vizuri na internet naweza angalia chochote nitakacho kupitia internet Kama technology inavyoruhusu.
Wajuzi swali kwenu Sasa kutokana na changamoto za kupata local channels na kuangalia mpira n gharama Sana siwezi itumia hii TV yangu kupata hizo channels na kufaidi kina sky sport, ESPN, Mtvbase ya USA, channel 0 ya south na nyingine nzuri bila kusahau Livestream?
Karibu mtutoe tongotongo