Matumizi Ya Cable ya dvi Kutoka Kwenye Dvd Player ili display kwenye monitor

djcalvin334

Member
Feb 25, 2017
14
0
Kutoka Kwenye Dvd Player ili display kwenye monitor yenye port ya dvi je inawezekana na km inawezekana nifanyanyeje naomben msaada
 
me binafsi niliwahi kuwa na deck yenye vga nikawa pia natumia na monitor
 
mkuu kuna possibility nyingi hapo
-kuna port sio za kuonyeshea ni za ku update system, mfano kuna receiver zina hio port ila ni kwa ajili ya kuconect na pc na kufanya updates.

-inawezekana ikaonyesha

-nyengine zinahitaji converter sababu kifaa chenyewe kinakuwa sio smart kutambua signal.

kwanini usitafute huo waya hata kwa fundi au rafiki ukatest kabla hujanunua?
 
Nimekupata kwa ushauri wako Kaka ntaufanyia kazi
 
Kitu kikubwa cha kuangalia ni kama monitor yako ina support hii kitu HDCP kama ni compliant, basi unaweza kutumia HDMI source yoyote kwenye monitor yako utakacho hitaji ni cable au converter DVI-HDMI, HDMI-DVI.
Nimeshawahi kutumia HDM-DVI ku-link monitor na vinga'muzi kadhaa na PS3.
 
Samahan Boss Hyo HDCP Nn ..!? Na nitajuaje km hyo monitor yng inasaport hyo ki2
 
Samahan Boss Hyo HDCP Nn ..!? Na nitajuaje km hyo monitor yng inasaport hyo ki2
High-bandwidth Digital Content Protection (HDCP) is a form of digital copy protection developed by Intel Corporation to prevent copying of digital audio and video content as it travels across connections.

Kuhusu kujua kama monitor yako ina support search specs za monitor yako. au weka model yake hapa.
 
Compaq W185q Monitor
Product No. NM972A
Regulatory Model No. HSTND-2511-T
Searial No. CNT939C5N1

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
wakuu samahan kwa kutoka nje ya mada..nataka kuuliza hivi kati ya HDMI na Display port ipi ni bora kwa display quality

cc: Chief-Mkwawa
ni vyema ukaangalia version.

HDMI 2.1 bila ubishi ndio bora zaidi, nafkiri hadi 10k inaenda, ina dynamic hdr, inakubali hometheatre za kisasa, refresh rate hadi 4k kwa 120hz nk, ila ndio mpya imetoka na vifaa vingi haina.

hivyo angalia hdmi yako ni ipi na display port yako ni ipi halafu ndo ufanye comparison. pia unatakiwa uangalie na monitor au tv yako kama nayo inahitaji port nzuri kama hizo.

kwa matumizi ya kawaida nyumbani nyumbani HDMI INATOSHA ila kwenye matumizi proffessional Display port bado ina nafasi yake mfano inaweza kudrive monitor nne kwa kutumia port hio hio moja na zikawa na sauti kitu ambacho hdmi ni ngumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…