Du! Nikiona link ya matokeo ya CSEE 2016, mapigo ya moyo yakimbia kwa 4G. Ila kuna watu wawili tofauti na hawajuani, waliniambia tarehe 28 mwezi huu.
Mmoja alisema kasikia kwenye redio, na mwengine kwenye eatv kipindi cha jarida.
Hizo ndio tetesi nilizosikia mimi!
Nawasilisha..