Matinyi akabidhi Ofisi ya Msemaji Mkuu wa Serikai kwa Makoba

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Sep 6, 2020
952
623
20240626_121117_InSave_0.jpg

Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Bw. Thobias Makoba (kushoto) akikabidhiwa nyaraka na Bw. Mobhare Matinyi (aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali) wakati wa makabidhiano ya ofisi ambayo yamefanyika Juni 26, 2024 katika ofisi ya idara hiyo jijini Dodoma.

20240626_121117_InSave_4.jpg
20240626_121117_InSave_3.jpg
20240626_121117_InSave_2.jpg

====

Pia soma: Uteuzi Juni 15, 2024: Mobhare Matinyi, aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali apangiwa majukumu mengine, nafasi yake yachukuliwa na Thobias Makoba
 
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Bw. Thobias Makoba (kushoto) akikabidhiwa nyaraka na Bw. Mobhare Matinyi (aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali) wakati wa makabidhiano ya ofisi ambayo yamefanyika Juni 26, 2024 katika ofisi ya idara hiyo jijini Dodoma.
Mkuu hivi matinyi kabla ya kuwa msemji alitokea idara ipi
 
Back
Top Bottom