Maswali ya kujiuliza kutoka kwa Mwalimu wa Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania na Mchambuzi Saleh Jembe

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
60,922
122,034
1. Hivi Yanga SC ingekuwa inaongoza Alama kati ya Sita (6) au Saba (7) hizi Kelele zao za Bodi ya Ligi tungezisikia leo?

2. Bodi ya Ligi ambayo Yanga SC ilikuwa Bingwa kwa Misimu Mitatu mfululizo leo ghafla inaweza kuwa mbovu?

3. Wamesema na kutwa Wanatudanganya wameenda CAS je, wanaweza kutupa Ushahidi wa huko CAS walikoenda?

Ninachokukubali Saleh Jembe (ukiacha kuwa Wewe ni mmoja wa Role Models) wangu na Kaka yangu katika Uandishi wa Habari za Michezo na Uchambuzi tokea nikiwa Masomoni ni kwamba japo ni mwana Simba SC 100% ila huwa huna UNAFIKI wala UPENDELEO kwani Simba yako wakilikoroga / wakiharibu huwa UNAWASEMA bila UWOGA wala AIBU na Yanga nao wakipatia huwa HUACHI Kuwapongeza japo najua kwa sasa wana Yanga SC wote ambao ulikuwa UKIWAPONGEZA mno hadi KUCHUKIWA na Mashabiki wa Simba SC watakugeuka na KUKUTUKANA na hata KUKUCHUKIA.

Hata hivyo Kaka yangu Saleh Jembe usijali sana kwani hata Mimi mdogo wako GENTAMYCINE nayapitia hayo hayo hapa JamiiForums kwani japokuwa Mimi ni mwana Simba SC kama Wewe (na hili silifichi) ila nikiwasema Simba SC nachukiwa na kuambiwa ni Yanga SC na pia Siku nikiwasifia Yanga SC watakuja Kunisifia hapa ila nikiwasiliba / nikiwakaanga tu kama Wakikengeuka / Wakikosea ghafla hunigeuka na Kunitusi na Kunichukia kwa kila maneno.

Tanzania ya leo ukiwa ni MKWELI, MUWAZI na haupendi UNAFIKI wala KUJIPENDEKEZA kwa Wapumbavu utachukiwa sana.
 
  • Thanks
Reactions: K11
Nyinyi wenye akili subirini mjibiwe na wenye akili wenzenu.

Hivi Rage aliwaitaje mashabiki wasimba??
 
Nyinyi wenye akili subirini mjibiwe na wenye akili wenzenu.

Hivi Rage aliwaitaje mashabiki wasimba??
Sikumbuki Rage alivyotuita Sisi Mashabiki wa Simba SC, ila ninachojua na kukikumbuka (kwakuwa kipo hata YouTube kama Ushahidi) ni ile Kauli ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga SC Luc Eymael Raia wa Ubelgiji aliposema kuwa Mashabiki wa Yanga SC ni Nyani, Mbwa na Sokwe.
 
Yaani 5imba na Bodi wamekaa wanasubiri Yanga na yeye aje waungane kwenye busara baada ya kuivunja kanuni..sasa Yanga ameshasema busara hataki hao Akina Salehe Jembe waelewe hilo, hizo alizitoa si hoja aje na kanuni iliyotumika kuvunja pambano. Alafu maswali hayo anaulizwa Yanga kwani ndiye aliyekimbia uwanjani?
 
1. Hivi Yanga SC ingekuwa inaongoza Alama kati ya Sita (6) au Saba (7) hizi Kelele zao za Bodi ya Ligi tungezisikia leo?

2. Bodi ya Ligi ambayo Yanga SC ilikuwa Bingwa kwa Misimu Mitatu mfululizo leo ghafla inaweza kuwa mbovu?

3. Wamesema na kutwa Wanatudanganya wameenda CAS je, wanaweza kutupa Ushahidi wa huko CAS walikoenda?

Ninachokukubali Saleh Jembe (ukiacha kuwa Wewe ni mmoja wa Role Models) wangu na Kaka yangu katika Uandishi wa Habari za Michezo na Uchambuzi tokea nikiwa Masomoni ni kwamba japo ni mwana Simba SC 100% ila huwa huna UNAFIKI wala UPENDELEO kwani Simba yako wakilikoroga / wakiharibu huwa UNAWASEMA bila UWOGA wala AIBU na Yanga nao wakipatia huwa HUACHI Kuwapongeza japo najua kwa sasa wana Yanga SC wote ambao ulikuwa UKIWAPONGEZA mno hadi KUCHUKIWA na Mashabiki wa Simba SC watakugeuka na KUKUTUKANA na hata KUKUCHUKIA.

Hata hivyo Kaka yangu Saleh Jembe usijali sana kwani hata Mimi mdogo wako GENTAMYCINE nayapitia hayo hayo hapa JamiiForums kwani japokuwa Mimi ni mwana Simba SC kama Wewe (na hili silifichi) ila nikiwasema Simba SC nachukiwa na kuambiwa ni Yanga SC na pia Siku nikiwasifia Yanga SC watakuja Kunisifia hapa ila nikiwasiliba / nikiwakaanga tu kama Wakikengeuka / Wakikosea ghafla hunigeuka na Kunitusi na Kunichukia kwa kila maneno.

Tanzania ya leo ukiwa ni MKWELI, MUWAZI na haupendi UNAFIKI wala KUJIPENDEKEZA kwa Wapumbavu utachukiwa sana.
maswali yote ya kipuuzi hata la7 failure hawezi uliza maswali mepesi km hayo,maswali yanajibiwa hata na mtoto wa kike wa injinia!!

1.yanga anafanya haya juu ya derby kwa mustakabali wa mpira wetu,hii yote ni kutaka kufyekelea mbali ichaka cha busara kwenye mpira,kuhusu ubingwa kwa yanga msimu huu ni swala la mda kwani kolo angekuja uwanjani tar8 angekipatapata kama siku zote tu
2.hakuna mtu anayeweza thubutu kuiona timu ya yanga mbovu na ndo maana tar8 kolo kakimbia kwa kujua she cant afford kipigo cha derby mfululizo
3.yanga wamuoneshe huyo mwandishi kama kweli wameenda CAS kwanini?au huyo jamaa ni nani haswa,ale ashibe apate kuishi
 
Kama kweli Salehe Jembe ni Mwalimu wa Wanahabari basi Tanzania kama Nchi ina safari ndefu ya kuondoa Makanjanaja katika Tasnia ya habari.

Nashauri waandishi wote walio fundishwa na Salehe Jembe vyeti vyao vya taaluma vishikiliwe na Bodi ya Habari mpaka wafuzu mafunzo ya VETA.
 
1. Hivi Yanga SC ingekuwa inaongoza Alama kati ya Sita (6) au Saba (7) hizi Kelele zao za Bodi ya Ligi tungezisikia leo?

2. Bodi ya Ligi ambayo Yanga SC ilikuwa Bingwa kwa Misimu Mitatu mfululizo leo ghafla inaweza kuwa mbovu?

3. Wamesema na kutwa Wanatudanganya wameenda CAS je, wanaweza kutupa Ushahidi wa huko CAS walikoenda?

Ninachokukubali Saleh Jembe (ukiacha kuwa Wewe ni mmoja wa Role Models) wangu na Kaka yangu katika Uandishi wa Habari za Michezo na Uchambuzi tokea nikiwa Masomoni ni kwamba japo ni mwana Simba SC 100% ila huwa huna UNAFIKI wala UPENDELEO kwani Simba yako wakilikoroga / wakiharibu huwa UNAWASEMA bila UWOGA wala AIBU na Yanga nao wakipatia huwa HUACHI Kuwapongeza japo najua kwa sasa wana Yanga SC wote ambao ulikuwa UKIWAPONGEZA mno hadi KUCHUKIWA na Mashabiki wa Simba SC watakugeuka na KUKUTUKANA na hata KUKUCHUKIA.

Hata hivyo Kaka yangu Saleh Jembe usijali sana kwani hata Mimi mdogo wako GENTAMYCINE nayapitia hayo hayo hapa JamiiForums kwani japokuwa Mimi ni mwana Simba SC kama Wewe (na hili silifichi) ila nikiwasema Simba SC nachukiwa na kuambiwa ni Yanga SC na pia Siku nikiwasifia Yanga SC watakuja Kunisifia hapa ila nikiwasiliba / nikiwakaanga tu kama Wakikengeuka / Wakikosea ghafla hunigeuka na Kunitusi na Kunichukia kwa kila maneno.

Tanzania ya leo ukiwa ni MKWELI, MUWAZI na haupendi UNAFIKI wala KUJIPENDEKEZA kwa Wapumbavu utachukiwa sana.
Baada ya October, 2025 mtakula ugali huko Yanga na Simba,haya maswali mungeweza kuuliza kuhusu katiba.
 
Back
Top Bottom