OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,877
- 121,044
Duuuh
View: https://youtu.be/Ex94EQQL8Ro?si=vNFvoKjRVolsifCm
Nina Masikitiko makubwa ya kumpoteza msaani wangu mkali Jose Mtambo kwa sababu ya pombe na madawa. Huyu ni msaani wangu wa pili baada ya kumpoteza Chid Benz.
Duuh Hatari anaulizwa Swali linaeleweka,majibu kipengere!
View: https://youtu.be/Ex94EQQL8Ro?si=vNFvoKjRVolsifCm
Nina Masikitiko makubwa ya kumpoteza msaani wangu mkali Jose Mtambo kwa sababu ya pombe na madawa. Huyu ni msaani wangu wa pili baada ya kumpoteza Chid Benz.
HajafaAta simjui wajomba zangu who is dis?💔 May his soul rest in power
Kumbe katudanganyaHajafa
Kamaanisha ametumbukia kwenye utumiaji wa madawa ya kulevyaKumbe katudanganya
Eh sikuelewa 😹😹Kamaanisha ametumbukia kwenye utumiaji wa madawa ya kulevya
Mbosso.Ata simjui wajomba zangu who is dis?💔 May his soul rest in power
Chanzo cha yote ni Pombe ndio maana mimi naichukia Pombe mpaka siku nazikwa Chini sitokuja kuigusa Pombesababu ya pombe
Ni mbaya sana kuna mwamba ni mwana wa 1990 ila Pombe imemtafuna sasa hivi ukimuangalia km alizaliwa 1960 naichukia Pombe to the graveuraibu wa pombe