Masikitiko ya Kumpoteza Msanii wangu wa Rap, Jose Mtambo

Wasanii wa bongo flava wajue wako Tanzania na sio Marekani. Kutaka kuishi kama wasanii wa Amerika kwa kisingizio cha kulinda brand itazidi kuwagharimu mno. Wasioumudu gharama ndo huishia kupata stress na kujiingiza kwenye uraibu wa pombe na madawa. Wajue hata hao wasanii wa Amerika wengi wao hufilisika na kuishia kwenye madeni. Mifano ni mingi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom