Masikini Manji, hii ndio Bongo!

Nasubir movie iandike THE END.


maxresdefault.jpg
 
Binafisi nampongeza Rais Magufuli kwa haya anayo fanya toka ameingia Madalakani yuko sahihi kabisa. lazima kuwe na utofauti kati Selikali na matajili Matajili ukiwaacha wakaota mapembe nchi itayumba,hivi sasa ndio tumepata Baba wa Taifa kwa mala nyingine.Wenye Akili timamu tunajuwa anachokifanya huyu Mzee na Matunda yake titayaona Badae Asante Rais wangu.
Matunda naam mutayaona baadae, na njaa ikishaanza kukumaliza usirudi hapa na kilio, uende huko huko kwa babaako Magu,pumbavu wewe roho za kimaskini tu ndio zinawaongoza nyinyi magamba
 
Huwezi kushindana na Dola,alidhani watu hawajajipanga,kaambiwa afadhali umekuja mapema,ngoja tukapime damu yako kwanza,halafu tukakusachi ofisini na nyumbani.Kwa mtu kama manji kumpekuwa ofisini lazima watakuta na nyaraka zingine ambazo hazitakiwi kufika mikononi mwa polisi!!
Kwa hiyo mpaka manji anajisalimisha kabisa ulitegemea ataacha ushahidi bila kuuficha??? Duuh na hapa ndipo operation ya makonda inapokosa makali..... walitegemea gwajima ajisalimishe hku ameacha kilo kumi za madawa nyumbani kwake.?? Really??? Hvi hao wahalifu ni wajinga kiasi hicho?? Dah kaz kweli kweli
 
A SINCERE APOLOGY:
A man received this message from his neighbour...
"Sorry sir, I have been using your wife day and night when you are not at home, in fact, much more than you do.
I confess this now because I am feeling very guilty. Hope you will accept my sincere apologies."
Immediately after reading the message, the man shot his wife dead.
A few minutes later, he received another message:
"Sorry sir, a spelling mistake...
I meant Wifi. not Wife."
Always be patient in typing, Also in taking actions. Patience is a Virtue.

Awesome.

Wise Words as always.

:):):):):)
 
Binafisi nampongeza Rais Magufuli kwa haya anayo fanya toka ameingia Madalakani yuko sahihi kabisa. lazima kuwe na utofauti kati Selikali na matajili Matajili ukiwaacha wakaota mapembe nchi itayumba,hivi sasa ndio tumepata Baba wa Taifa kwa mala nyingine.Wenye Akili timamu tunajuwa anachokifanya huyu Mzee na Matunda yake titayaona Badae Asante Rais wangu.
Unahitaji kuombea ufahamu wako.
 
Nilichogungu kuna chuki kubwa kati ya wenye nacho na wasio nacho na pia wenye kazi nzuri na wasio nazo. Rejea furaha ya wengi mtu akitumbuliwa.
Na hiyo ndio nyota ambayo sizo bado anatembelea na kuendelea kuteka nyonyo za WaTz wengi. Kwa bahati mbaya na kutokana na ufisadi uliosimamiwa na CCM, WaTz tulio wengi tunaishi katika dimbwi la umaskini na fikira za kimaskini na kwa hivyo tunamwona kila alifenakiwa kiuchumi kuwa ndiye alitusababishia ufukara. Ametokea malaika kutoka katika kundi hilo hilo liloedekeza ufisadi na kuwaaminisha walalahoi kuwa 'matajiri' wote ni 'mashetani'. Kwa hivyo kila tunapoona 'tajiri' ametumbuliwa au ananyanyaswa hata bila kosa kwetu hiyo ni furaha na tunazidi kumpongenza mtukufu.
 
Kenya wanamtaka ahamishie na uwekezaji wake kule...ingekuwa Mimi chapu ngetua Nairobi chyaa.
Wenzetu wameanza kusajili matajiri waliopo bongo wanaochoshwa nasystem. Mara bahresa,dewji,mengi nk.wengine wanadai watarudi after 9 years...nchi ya viwanda
Sio kweli Alshabab anatikisa sana Kenya. It's one of the 'risks countries' alafu capitalism ina nguvu sio rahisi ku penetrate.
 
Huwezi kushindana na Dola,alidhani watu hawajajipanga,kaambiwa afadhali umekuja mapema,ngoja tukapime damu yako kwanza,halafu tukakusachi ofisini na nyumbani.Kwa mtu kama manji kumpekuwa ofisini lazima watakuta na nyaraka zingine ambazo hazitakiwi kufika mikononi mwa polisi!!
kwani kwenda polisi mapema ni kushindana na dola?
 
Huwezi kushindana na Dola,alidhani watu hawajajipanga,kaambiwa afadhali umekuja mapema,ngoja tukapime damu yako kwanza,halafu tukakusachi ofisini na nyumbani.Kwa mtu kama manji kumpekuwa ofisini lazima watakuta na nyaraka zingine ambazo hazitakiwi kufika mikononi mwa polisi!!
badala ya kukaa na kutafakari kama ni kweli anahusika au hausiki haki itendeke na sio chuki we we unaongea kishabiki. hivi unadhani walioko magerezani wote ni wahalifu?
 
Kenya wanamtaka ahamishie na uwekezaji wake kule...ingekuwa Mimi chapu ngetua Nairobi chyaa.
Wenzetu wameanza kusajili matajiri waliopo bongo wanaochoshwa nasystem. Mara bahresa,dewji,mengi nk.wengine wanadai watarudi after 9 years...nchi ya viwanda

Mlituambia hivyo hivyo wakati CEO wa TRA alipomalizwa, oooh Ethiopia wanamtaka, sijui ana maujuzi gani sijui.... tukasema good riddance, aende, hatumtaki. Na huyo Bakressa nae akizingua wanamtia mazabe, kwanza sio Mtanganyika!
 
Kwa hiyo mpaka manji anajisalimisha kabisa ulitegemea ataacha ushahidi bila kuuficha??? Duuh na hapa ndipo operation ya makonda inapokosa makali..... walitegemea gwajima ajisalimishe hku ameacha kilo kumi za madawa nyumbani kwake.?? Really??? Hvi hao wahalifu ni wajinga kiasi hicho?? Dah kaz kweli kweli

Unaweza ukajisalimisha ukawa nayo hapo hapo kituoni Chief!!!!
 
hivi hujui kwanini bunge limechachamaa huko? , unaweza muweka mahabusu lakini bado hela yake ikaendelea kufanya kazi . hujaona tofauti kati ya walipotajwa wakina wema na walipotajwa hawa wa sasa . Achana na hela kitu kingine.
Kama kuna ukweli mkuu...Ngoja tuone!
 
Back
Top Bottom