Youngstunna
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 265
- 296
Nahitaji kununua mashine ya Selcom nipo dar es salaam iwe imeungwanisha na nbc, muuzaji serious anitext inbox
mashine ya selcom iwe imeungwanishwa na selcomNahitaji kununua mashine ya Selcom nipo dar es salaam iwe imeungwanisha na selcom, muuzaji serious anitext inbox
Nilijichanganya namaanisha iliyoungwa na nbcmashine ya selcom iwe imeungwanishwa na selcom
Ahsante mkuu , sasa Mimi nahitaji hiyo selcom ambayo imewezeshwa huduma za nbcKwakukusaidia,Selcom imeunganishwa na bank zote tz ,kinachofanyika kwa sasa ni kua BOT wameunganishia system inaitwa TIPS hii miamala yote unayofanya lazima ipitie kwao.
Mfano Unatoa hela tigo pesa utaenda BOT then Selcom then unarejea kwa mtumiwaji so bank zote zipo zipo integrated from BOT.
Yeah wanakuja
Najua unafanya miamala boss nina swali. Vip capital ya 4millions naweza kupata hizo mashine za bank. Nataka nianze uwakala na mimi.Nahitaji kununua mashine ya Selcom nipo dar es salaam iwe imeungwanisha na nbc, muuzaji serious anitext inbox
Habari bossNajua unafanya miamala boss nina swali. Vip capital ya 4millions naweza kupata hizo mashine za bank. Nataka nianze uwakala na mimi.
Ok nawasubiliYeah wanakuja
Salama nambie mkuuHabari boss
Inatosha maana ku apply mashine za bank gharama ni laki2 Kwa nbc na crdb ila nmb nadhani gharama wamepandisha kidogoSalama nambie mkuu