Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,312
Wapelekwe gaza magaidi hayo!Majaji/waendesha mashtaka muogopeni Mwenyezi Mungu, life is too short. Msiwe na kibri na majivuno.
Wapelekwe gaza magaidi hayo!Majaji/waendesha mashtaka muogopeni Mwenyezi Mungu, life is too short. Msiwe na kibri na majivuno.
Unamdanya nani asiyejua? Waislam Liberal kama wengi wa hapa Tanzania ndio waislamu wanaojielewa! Lakini ili utengeneze magaidi lazimi upitie mlango wa Uislam!Uislamu na ugaidi wapi na wapi! Usome Uislamu acha uvivu
Umeshaambiwa wameshinda kesi👇
Hata hivyo katika hali ya kushangaza baada ya Mahakama Kuu kuwaona hawana hatia wamechukuliwa na vyombo vya Usalama na kuondoka nao.
Kwani Israel na hamasi nani gaidi?hili kujua ukweli kwanza uache ushabikiMfano
Ukitaka kuwashinda kikundi cha kigaidi cha kiislamu cha Boko Haram pale Nigeria na kuwaondoa wote.
Kamata viongozi wakubwa na wadogo wa kiislamu pale Nigeria weka jela. Kwenye mabaraza yao yote kamata weka ndani hautasikia tena kuwepo kwa kundi lolote la kigaidi la kiislamu.
Hawa jamaa unatakiwa u-deal nao kama wanayofanya Israel kwa Hamas
Wewe mpumbavu tena mpumbavu tena akili unazo lakini ujui kuzitumia subili likukute upelekwe segerea bila hela utajua ukweli ulipoUkiona hivyo jua ni watu hatari sana kwa usalama wa nchi hii.
Kinacho nipendezesha ni kuwa walikamatwa kipindi cha utawala wa ndg yao ktkt Imani.
Na sasa hizi blah blah zinafanyika kipindi cha utawala wa ndg yao ktk imani.
Mpumbavu sana wewe unacho kisema ukijui zaidi umejaza upumbavu kichwani mwakoAliye juu ni mwenzenu msije sema tena mfumo Kristo unawaonea
Hawa mashehe wanavyolindwa wakiwa wanaletwa hapo mahakamani unaweza sema ni alqaida
Unafuraha sana wenzako kukandamizwa miaka 10 ushahidi bado,,unajihesabia haki sababu ya imani yako lakini kwenye magereza wako wengi tu waimani yako wameshikiliwa tena kwa kubabikiziwa kesi na hao waimani yako,huu mfumo auangalii imani baba ukiingia 18 zao utajuta kuzaliwa kamuulize lissu walio mfanyia ugaidi ni dini gani?Mpaka washikiliwe na vyombo vya usalama ina maana ni watu hatari sana, waendelee kushikiliwa mpaka nguvu za ugaidi wao ziishe
Huku majizi yanayotajwa katika ripoti za CAG kila mwaka, yakilindwa na serikali hiyo hiyo inayoweka watu ndani kwa miaka 9 na kushindwa kuthibitisha tuhuma zinazowakabili.
Mimi ni Mkristo, lakini siwezi fumbia macho huu uonevu kwassbabu kesho inaweza kuwa zamu yangu kama sio ya wachungaji ama maadkofu, ingawa hizi dini siku hizi nazo zimekuwa ni miyeyusho na hutumika kama vitega uchumi vya viongozi wa kidini .
Ulienda kutoa ushahidi?maana mahakama imeshema hawana atia awenda ushaidi wako ulikuwa wa uongoWalitusumbua sana Kibiti
Unamdanya nani asiyejua? Waislam Liberal kama wengi wa hapa Tanzania ndio waislamu wanaojielewa! Lakini ili utengeneze magaidi lazimi upitie mlango wa Uislam!
Wapelekwe gaza magaidi hayo!
Kwa elimu ya madrasa lazima uamini kilichoandikwa na shida ya maimamu kwa sababu akili na elimu mnalingana.Uislamu na ugaidi wapi na wapi! Usome Uislamu acha uvivu
Umeshaambiwa wameshinda kesi👇
Hata hivyo katika hali ya kushangaza baada ya Mahakama Kuu kuwaona hawana hatia wamechukuliwa na vyombo vya Usalama na kuondoka nao.
kumbe unajua huu mfumo hauangalii dini? Hapo sawa, kama hao masheikh hawana makosa watatoka tu, haki itawahifadhi. Waliomfanyia lissu ugaidi watakufa vibaya sawa na ugaidi waoUnafuraha sana wenzako kukandamizwa miaka 10 ushahidi bado,,unajihesabia haki sababu ya imani yako lakini kwenye magereza wako wengi tu waimani yako wameshikiliwa tena kwa kubabikiziwa kesi na hao waimani yako,huu mfumo auangalii imani baba ukiingia 18 zao utajuta kuzaliwa kamuulize lissu walio mfanyia ugaidi ni dini gani?
Uislamu na ugaidi wapi na wapi! Usome Uislamu acha uvivu
Umeshaambiwa wameshinda kesi
Hata hivyo katika hali ya kushangaza baada ya Mahakama Kuu kuwaona hawana hatia wamechukuliwa na vyombo vya Usalama na kuondoka nao.
Dah!....mawakili Pascal Mayalla Petro E. Mselewa BALENSIAGA tuambieni nini huwa kinasababisha mtu kukamatwa tena muda mchache baada ya kuachiwa na mahakama.SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
TAARIFA YA KESI ZINAZOENDELEA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA
MASHEIKH 6, LEO IJUMAA TEREHE 1/12/2023, WAMESHINDA KESI LAKINI WAMECHUKULIWA TENA NA VYOMBO VYA DOLA
Masheikh hao ni sehemu ya mamia ya Waislamu walio kamatwa na serikali ya Tanzania mika 10, iliyopita na kufunguliwa mashtaka mbalimbali ya ugaidi.
Baada ya kukaa gerezani kwa zaidi ya miaka 9, leo wameshinda kesi katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam
Masheikh hao ni:
1. Fundi Khamisi Kamaka.
2. Issa Mussa Mustafa.
3. Eliasa Kalinda Kazana.
4. Athumani Khamisi Abeid.
5. Juma Rajab Mbonde. Na-
6. Issa Abdullah Kokoko.
Wamekua gerezani toka 2014.
Hata hivyo katika hali ya kushangaza baada ya Mahakama Kuu kuwaona hawana hatia wamechukuliwa na vyombo vya Usalama na kuondoka nao.
Shura ya Maimamu Tanzania inaendele kufuatilia kuchukuliwa tena watu hao na itatoa taafa baada ya kazi hiyo.
IMAM SHAABAN IBRAHIM, KAIMU AMIRI WA SHURA.
Hao mashekhe waliwekwa jela na muislamu mwenzao JK mwaka 2014.Wacha wee mfuasi wa Bwajima nawaonea huruma jirani zako waislam kwa chuki hii..mrudishe Magufuli au msimike Kabudi ili aje kuwatesa waisla tena furaha yako irudi.
Acha ku-panic broWewe mpumbavu tena mpumbavu tena akili unazo lakini ujui kuzitumia subili likukute upelekwe segerea bila hela utajua ukweli ulipo
Kwamba hao maustadhi walikaa Segerea kwakuwa hawana hela?Wewe mpumbavu tena mpumbavu tena akili unazo lakini ujui kuzitumia subili likukute upelekwe segerea bila hela utajua ukweli ulipo