Mr Lowassa, Mr Mbowe, Mr Kingunge, Mr Mbatia and other staffs, the country will not be peaceful in the hands of this newly elected president, the opponents will go missing, people who oppose him will be killed and or jailed, when you see these things, get to know that his end is near .By TB Joshua.Wapendwa wanajamvi,
Nimevumilia na hàtimaye uzalendo umenishinda. Hakuna rais yeyote duniani ambaye alishawahi kuwa na kauli za dharau na maudhi kwa wananchi wake kama rais magufuli.
Hata ukifuatilia rekodi za Marais ambao waliongoza kidikiteta katika nchi zao hawakuwa na kauli za kuudhi na za kipumbavu kama nilizosikia Leo kutoka kwa huyu rais.
Amewadharau watu wote kama alivyozoea kumdharau mke wake. Wako wapi wazee mbalimbali na viongozi wa dini ambao kipindi cha kikwete walikuwa wakitoka wazi na kukemea?
Hii dharau huyu mtu kaipata wapi na kwa nini awe na dharau kiasi hiki kama vile nchi haina wanaume wa kuhoji?
Mimi siko tiyari kuvumilia dharau za kijinga hizi kule kwetu mara hasa kijijini kwetu KIRIBA hatukuzoea dharau za kijinga kama hizi zilizotokea Leo, hii Ni zaidi ya udikiteta.
Sasa namuomba rais magufuli atangaze rasmi kuwa nchi sasa inaongozwa kibabe ili tunaoonekana kutokubaliana na upumbavu huo tujitokeze na wanaoonekana kupendezwa na upumbavu huo nao wajitokeze tutafutane mitaani basi.
Ongea ujuavyo na upendavyo kwa hapa tulipofikia hakuna kuogopana tena.
Jirani wamepata msiba.Hii mbaya sana hasa wananchi watakapo choka na hayo madharau na kuamua liwalo naliwe nakuamua kujiondoa ufahamu na kujivika mabomu.
Maneno ya wakosaji hayoAkili nyembambaaaaa
umeongea kwa huzuni sana pole
Ha haaaaaaa Musa wa TanzaniaNikaendelea kusema tena baada ya kuona ameshindwa kwa kiasi kikubwa atawaambia.. Mimi nilitaka kuwatoa katika umaskini wenu lakini nyie ni wavivu na mnapenda kulialia kwenye mitandao,nawaacha na umaskini wenu..
Masikini nchi yangu
acha ujinga wewe, hakuna mwenye nyumba, hii nchi ni ya democracy haiwezekani watu wachache watunyanyase wengi, dawa yao ipo jikoni, ngoja iive.
Kwa akili yako ndogo unaamini hayo maneno kaandika makonda
Hofu ni huo mwandiko wake.Kama ni yeye kweli,basi,hata hiyo elimu ya juu aliyo ipata kwa jina hilo ina mashaka pia...hii message imekaa kama imeandikwa na shoga lenye kulegeza midomo...message imekaa kipashukuna haswa...na kama inatoka kwa mwenye jina hapo na inamgusa waziri kwa yaliyojiri leo basi tuna mgogoro mkubwa kwenye utawala huu...yetu macho...
Kwa akili yako ya Kuku we unaonaje?Kwa akili yako ndogo unaamini hayo maneno kaandika makonda
Huyu jamaa Ni mjinga sana tena sana. Na ole wake aingie kwenye anga nzuri watamsafirisha kwenda koromije[/QUOTE]QUOTE="kichomiz, post: 20257407, member: 38226"]View attachment 484004
Na NapeNiache Mimi Ujinga au Dompo anayeongea kwa mbwembwe nyingi wakati anachofungua kilitafutwa na Msoga.Hivi toka ameingi mradi upi amepata??Rail, Mwendokasi,flyovers,Barabara vyote amevikuta projects zilishakuwa signed.Mpaka sasa mwanaume ni JK wengine wachoraji tu.