Mashabiki wa Yanga walifuata nini uwanja wa Mkapa wakati Serikali inaongea na viongozi wao, mbona utoto mwingi sana?

Mwishokambi

JF-Expert Member
Nov 23, 2020
438
1,589
Leo kulikuwa na kikao pale Benjamin Mkapa, walianza kuitwa viongozi wa Yanga wakaongea yao na baadae wakaitwa Simba wakaongea yao, wote waliitwa kwa nyakati tofauti.

Naipongeza sana serikali kwa jitihada za kuleta amani katika mpira wetu, Kabudi ni msomi wa sheria, alikuwa anafanya dispute resolution kwa maana ya mediation.Ndio maana alianza na walalamikaji Yanga na baadae akaita Simba.

Wangeitwa wote katika kikao hicho kusingekuwa na mwafaka, kila mmoja angekuwa anapayuka.

Hata hivyo wengi tumeshangazwa sana na mashabiki wa Yanga kwenda uwanjani na kukaa nje kusubiria Hersi kaambiwa nini, kwa mazingira yale ya mashabiki washamba kwenda uwanjani na kukaa getini kumsubiria kiongozi wao inawezekana hata siri za kikao zikavuja.

Kwanini mashabiki mnakosa ustaarabu, ameitwa Hersi na wenzake pale Benjamini Mkapa nyie mashabiki mmefuata nini, je mliambiwa na viongozi wenu mje ama ndio ushamba mzigo.
 
Leo kulikuwa na kikao pale Benjamin Mkapa, walianza kuitwa viongozi wa Yanga wakaongea yao na baadae wakaitwa Simba wakaongea yao, wote waliitwa kwa nyakati tofauti.

Naipongeza sana serikali kwa jitihada za kuleta amani katika mpira wetu, Kabudi ni msomi wa sheria, alikuwa anafanya dispute resolution kwa maana ya mediation.Ndio maana alianza na walalamikaji Yanga na baadae akaita Simba.

Wangeitwa wote katika kikao hicho kusingekuwa na mwafaka, kila mmoja angekuwa anapayuka.

Hata hivyo wengi tumeshangazwa sana na mashabiki wa Yanga kwenda uwanjani na kukaa nje kusubiria Hersi kaambiwa nini, kwa mazingira yale ya mashabiki washamba kwenda uwanjani na kukaa getini kumsubiria kiongozi wao inawezekana hata siri za kikao zikavuja.

Kwanini mashabiki mnakosa ustaarabu, ameitwa Hersi na wenzake pale Benjamini Mkapa nyie mashabiki mmefuata nini, je mliambiwa na viongozi wenu mje ama ndio ushamba mzigo.
Yaani kukaa nje na kumsubiria kiongozi wao ndio Ushamba? Acha Ushamba wewe na mada yako ya kishamba

Wameenda kwa mapenzi mema kwa Kiongozi wao na Club yao

Nakuambia tena acha Ushamba
 
1000261599.jpg
 
Mashabiki walikua sahihi maana walikua wakishinikiza kwamba wao wapo na msimamo wao na wanalifuatilia jambo ilo kwa karibu ili kuondoa dhulma, Kiburi na mazoea kwa Tff na bodi ya ligi.

Wale wote waliokua wakienda ku udhuria kikao icho walipita pale nje na kuona kuna Nguvu ya umma ipo nje ya geti ikifuatilia ilo jambo.

Nashauri kikiao kikifanyika tena mashabiki na wanachama wataarifiwe mapema.

Wajitokeze kwa wingi eneo litakalo fanyika kikao icho popote Nchini ili kuwaonyesha kua umma wa mashabiki na wanachama wa Yanga wanafuatilia jambo ilo kwa karibu.
 
Yaani kukaa nje na kumsubiria kiongozi wao ndio Ushamba? Acha Ushamba wewe na mada yako ya kishamba

Wameenda kwa mapenzi mema kwa Kiongozi wao na Club yao

Nakuambia tena acha Ushamba
Ushamba wa kuacha shuhuli zako za kukuingizia fedha kwa ajili yako na familia yako tena unakuta unafanya kazi ngumu sana hata hauna ajira ya kueleweka unaenda kumsindikiza mtu mwenye uhakika wa maisha pumbavu.
 
Ushamba wa kuacha shuhuli zako za kukuingizia fedha kwa ajili yako na familia yako tena unakuta unafanya kazi ngumu sana hata hauna ajira ya kueleweka unaenda kumsindikiza mtu mwenye uhakika wa maisha pumbavu.
Mshamba ni Mikia inayowasema Mashabiki wa Mabingwa Yanga ilihali wao wakipoteza muda kwenda uwanjani kuangalia mechi tena kwa kiingilio cha 100,000/=

Wala hawalalamiki....au wale wachezaji mnaowaangalia uwanjani wanawagawia pesa wanazolipwa? Wanawalipia kodi? Wanawasomeshea wanenu 🤣🤣🤣🤣

Stupid Kolo
 
Tatizo pale yanga linaanzia kuanzia ngazi ya uongozi wa juu wa club mpaka kwa mashabiki, uongozi umejaa vijana wahuni wa mjini hakuna mwenye busara wa kumshauri mwenzie namna ya kuyaendea mambo, kipaumbele kwao ni kutaka sifa tena sifa za kijinga tu.
 
Tatizo pale yanga linaanzia kuanzia ngazi ya uongozi wa juu wa club mpaka kwa mashabiki, uongozi umejaa vijana wahuni wa mjini hakuna mwenye busara wa kumshauri mwenzie namna ya kuyaendea mambo, kipaumbele kwao ni kutaka sifa tena sifa za kijinga tu.
Bado hamjasema, Tff na Bodi ya ligi safari hii watajuta kumpandisha Tembo juu ya mti uku wakiwa wametega mgongo kumzuia asije aka anguka.
Wanacho fanya Yanga ni kupiga katafunua kwa Tff na bodi yake na Tembo ata poromoka atake asitake.
 
Back
Top Bottom