Pambavu pimbi zote zimelalal mbele na kesho atakua 🐍 ogTulikuwa tunasikia vyura vinalia hapa dimbwini tumerusha jiwe moja tu vyote vimetulia kama havikuwepo
Wametimua...Tulikuwa tunasikia vyura vinalia hapa dimbwini tumerusha jiwe moja tu vyote vimetulia kama havikuwepo
Ndo maana waliambiwa wenye akili wawili na bado wamempokeaUtopolo bana
Mitiniii post wanaingulia kuleeeMashabiki wa viper utopolo bado mpo?
Utabiri wa michongo umefeli big timeBaada Ya Kukutana Sasa Nini Kimetokea....
😂😂😂😂😂Nyie machoko wa vipers mumefungwa
Pia wale wa Horoya tukutane kwa kikao kifupi🤔Uzi huu ni Kwa wale wapenzi na mashabik wai vigogo kutoka Uganda hapa nazungumzia Vipers Sports Club.
Klabu hii yenye maskani yake jijin Kampala ndio mabingwa wa ligi ya Uganda.
Siku ya jumaosi tunawakaribisha Simba kutoka nchini Tanzania mchezo utakaopigwa St Mary's Stadium-Kitende
Niwatoe hofu mashabiki na wapenzi wote wa Vipers tu kuwa Jumamosi huyo Simba atapigwa sio chini ya goli 5 na ataendelea kubuluza mkia wa kundi letu paka mwisho maana yeye ndio kibonde wankundi letu.
Na Kwa wale mashabiki wao ambao Wana mpango wa kusafili kuja huku Uganda kutazama pambano hili nawaomba iyo ela Yao bora wanywee bia maana kipigo tutakachompa Simba sio cha kawaida.
Karibuni sana kuipa shavu timu yetu hii ya vipers ili tuungane na Raja kusonga mbele hatua ya robo fainali.
Mungu ibariki Uganda, Mungu ibariki Afrika Mashariki![]()
Sawa... Niwatoe hofu mashabiki na wapenzi wote wa Vipers tu kuwa Jumamosi huyo Simba atapigwa sio chini ya goli 5 na ataendelea kubuluza mkia wa kundi letu paka mwisho maana yeye ndio kibonde wankundi letu. Karibuni sana kuipa shavu timu yetu hii ya vipers ili tuungane na Raja kusonga mbele hatua ya robo fainali.