Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,424
- 169,915
Aaah hiyo nguvu mnaitoa wapi kwamfano!!Huo ni upuuzi shoga angu utakuja kujua badae...
By the way hivi Kunw mwana Simba kashaanzisha nyuzi za kuwa timu Mazembe au timu monaco....
Aaah hiyo nguvu mnaitoa wapi kwamfano!!Huo ni upuuzi shoga angu utakuja kujua badae...
By the way hivi Kunw mwana Simba kashaanzisha nyuzi za kuwa timu Mazembe au timu monaco....
Mnyama pia ndio anaanza mashindano huko ugenini.VIPERS ndo tumeanza michuano rasmi.
Mimi nimeangalia takwimu za mechi zao za hivi karibuni. Ni wagumu kuruhusu mabao, lakini pia wana tatizo la kupata mabaoDefence inayoongozwa na juuko? Defence iliyogongwa 5 ndo unasema ni wagumu kufungika?
ila wapo Champions League, na timu dhaifu ya Vipers ilimuondoa kwenye Champions League na kumpeleka huko kwenye mashirikisho huyo TP Mazembe. Na Yanga pia aliondolewa na timu dhaifu ya Al Hilal na kupelekwa huko kwenye mashirikishoLakini wote wadhaifu..!!
AhaaahaTanzania na Uganda zina undugu wa damu kabisa, ndio maana Nyerere alipoona waganda wananyanyaswa na Idd Amin alituma jeshi letu kwenda kuwakomboa hawa ndugu zetu.
Kwaio sio zambi kuwasapoti Vipers. Kila la kheri kwa ndugu zetu wa vipers
Tunazungumzia Champions League, sio NBCPL au sijui Shirikisho, hizo ni ligi dhaifu. Kuanzia mwezi August tutakuwa tunazungumzia Super LeagueKama Kinyumenyume FC, Ngada FC, Mapaka FC, Makolo FC walishangilia goli moja tena la kusawazisha, iweje VIPER wasishangilie goli moja tena la ushindi?
Sawa, tunaitunza post hiiVipers 3-0 Mikia nimekaa paleeeee, isipotokea mniite mbwa shoga
Tewesudiya muganda wange era wandibanga osirika busirisi, Mnyama akyali waamanyi nyo, era agenda kubba Vipers akomewo ne points ssatu.Empologoma okuzisiba kiringa ekyaffe bulijjo era temweraliikirira, Vipers Goal 3 Simba O bano baffe abakooye
Wanajisahaulisha mkuuViper Alipiga gongowazo Taifa.
2-0
Kyekyo SebboEmpologoma okuzisiba kiringa ekyaffe bulijjo era temweraliikirira, Vipers Goal 3 Simba O bano baffe abakooye
ng’amazinaensolo empologoma ejja kukubibwa nnyo