kwa Africa liwalo na liwee amani maana yake ni ccm kuwa ikulu. kumuomba Mungu amani ni unafiki amani tunayo wenyewe na tunaitunza sisi na kuiharibu wenyewe. amani ipo kama ni kuomba tumuombe Mungu ccm iione dhambi inayoinyemelea siku ya uchaguzi je kuna ssalama. au ndiyo ule msemo wa liwalo na liwe...