"Maria mkingiwa dhambi ya asili msimamizi wa nchi yetu" Ina maana gani kwenye hii barua ya TEC?

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Mar 29, 2012
14,212
31,616
Kuna hii barua ya TEC kuwataka wakatoliki kumuombea kiongozi wao mkuu Papa Francis... Wamenichanganya na maandishi yanayosema "Maria mkingiwa dhambi ya asili msimamizi wa nchi yetu". Kwa kuwa imetajwa nchi yetu ndo nimetaka kujua zaidi Maria ahusike kuilinda.
 

Attachments

  • FB_IMG_1740305941394.jpg
    FB_IMG_1740305941394.jpg
    34.6 KB · Views: 1
Kuna hii barua ya TEC kuwataka wakatoliki kumuombea kiongozi wao mkuu Papa Francis... Wamenichanganya na maandishi yanayosema "Maria mkingiwa dhambi ya asili msimamizi wa nchi yetu". Kwa kuwa imetajwa nchi yetu ndo nimetaka kujua zaidi Maria ahusike kuilinda.
Kaa kwa kutulia mambo yasiyokuhusu
 
Itapendeza majina ya watakatifu yawe na vinasaba vya Afrika.Mfano Igulu(mwanamalundi),Kishimba,Mkwava nk.kuliko kutukuza majina ya kigeni tu.
 
Back
Top Bottom