Marekani yalalamikiwa ajali iliyomuua Rais wa Iran!

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
38,273
47,496
Katika hali ya kushangaza waziri wa mambo ya nje wa zamani wa Iran Javad Zarif ameilalamikia Marekani kwa ajali ya Helikopta iliyosababisha kifo cha Rais wao Ebrahim Raisi.

Javad anasema ajali hii ni matokeo ya vikwazo vya muda mrefu vya Marekani ambavyo vinawazuia kupata ndege/ helicopter na vipuri vyake na kwamba tukio la ajali hii litasajiliwa kama uhalifu mwingine wa Marekani dhidi ya raia wa Iran.

Kumbe huwa tanadanganywa sana humu tunapoambiwa Iran ni wakali wa teknolojia "tech" ilihali hata vipuri vya ndege na helicopter vimewashinda.
 
Now, let's take a step back and look at this situation from a galaxy far, far away. Imagine if the Death Star had a faulty hyperdrive due to a trade embargo on spaceship parts.

Would the Galactic Empire blame the Rebel Alliance for not being able to properly invade planets?
 
Katika hali ya kushangaza waziri wa mambo ya nje wa zamani wa Iran Javad Zarif ameilalamikia Marekani kwa ajali ya Helikopta iliyosababisha kifo cha Rais wao Ebrahim Raisi.

Javad anasema ajali hii ni matokeo ya vikwazo vya muda mrefu vya Marekani ambavyo vinawazuia kupata ndege/helicopter na vipuri vyake na kwamba tukio la ajali hii litasajiliwa kama uhalifu mwingine wa Marekani dhidi ya raia wa Iran.

Kumbe huwa tanadanganywa sana humu tunapoambiwa Iran ni wakali wa teknolojia "tech" ilihali hata vipuri vya ndege na helicopter vimewashinda.
Helcopta ni Made in USA aina ya Bell.Made in 1979.. Spare kwa sababu ya Vikwazo vya USA walikuwa awawezi pata. Uhenda waliuziwa spear za Black market watu wakaweka Stuxnet like Virus , time imefika wakachomoa Betri
 

Attachments

  • IMG_0905.jpeg
    IMG_0905.jpeg
    160 KB · Views: 4
Helcopta ni Made in USA aina ya Bell.Made in 1979.. Spare kwa sababu ya Vikwazo vya USA walikuwa awawezi pata. Uhenda waliuziwa spear za Black market watu wakaweka Stuxnet like Virus , time imefika wakachomoa Betri
Iran could have spend all the time they use in manufacturing bombs to research on how to produce their own aircraft.
 
Vikwazo ni silaha inayoharibu taratibu mno si sawa kuwadharau wanayoitumia.
Ila pia wana ujinga fulani, hizo akili za kutengeneza drones za kurusha toka Iran hadi Israel si wangezitumia kufanya mambo ya maana, ni kama vile Kiduku wa Korea Kaskazini alivyojikita kutengeneza na kulipua mabomu na makombora baharini huku raia wake wengi wanakufa njaa na wamejaa minyoo.
 
Katika hali ya kushangaza waziri wa mambo ya nje wa zamani wa Iran Javad Zarif ameilalamikia Marekani kwa ajali ya Helikopta iliyosababisha kifo cha Rais wao Ebrahim Raisi.

Javad anasema ajali hii ni matokeo ya vikwazo vya muda mrefu vya Marekani ambavyo vinawazuia kupata ndege/helicopter na vipuri vyake na kwamba tukio la ajali hii litasajiliwa kama uhalifu mwingine wa Marekani dhidi ya raia wa Iran.

Kumbe huwa tanadanganywa sana humu tunapoambiwa Iran ni wakali wa teknolojia "tech" ilihali hata vipuri vya ndege na helicopter vimewashinda.
Hivi jamen huwa wanasema mchina ako na teknolojia kubwa sana ya kumshinda US, si huwa tunaambiwa Urusi pia ni nguli wa teknolojia na pia N.Korea sasa si wangeagiza tu hivyo vipuri kwan wangempa mchina angeshindwa kuvipiga copies, aises itoshe tu sasa kusema US yupo mbele sana tena mbele ya muda hakuna wa kumshinda kwa sasa kwa hiyo ubishi umeshaamuliwa
Aisee ile helicopter ukiitizama ndani kwa juu ina cover ambalo ni kama seat cover ya kwa fundi maiko wa kwa mpalange.
 
Katika hali ya kushangaza waziri wa mambo ya nje wa zamani wa Iran Javad Zarif ameilalamikia Marekani kwa ajali ya Helikopta iliyosababisha kifo cha Rais wao Ebrahim Raisi.

Javad anasema ajali hii ni matokeo ya vikwazo vya muda mrefu vya Marekani ambavyo vinawazuia kupata ndege/helicopter na vipuri vyake na kwamba tukio la ajali hii litasajiliwa kama uhalifu mwingine wa Marekani dhidi ya raia wa Iran.

Kumbe huwa tanadanganywa sana humu tunapoambiwa Iran ni wakali wa teknolojia "tech" ilihali hata vipuri vya ndege na helicopter vimewashinda.
Ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya rally all fhe nationa and common people vs marekani unascore much more
 
Back
Top Bottom