Marekani yaikamata ndege ya Rais Maduro wa Venezuela

Msio na akili kila wakati mnakimbilia kutukana.

Tatizo uwezo wenu ni duni halafu mnaamini kuwa mna uelewa.

Huwezi kuiambia nchi yoyote ile kuwa eti haina mamlaka ya kuiwekea vikwazo nchi fulani kama kama ina sababu za msingi kufuatana na yale ambayo Taifa linayasimamia. Marekani imeweka vikwazo kwa nchi ya Venezuela kuwa hakuna kampuni, au mtu yeyote katika nchi yake anayeruhusiwa kufanya biashara na Venezuela, wewe unasema, haina mamlaka. Halafu bado unaamini una uelewa!! Kama Marekani ingeiambia Tanzania au Urusi isifanye biashara na Venezuela, hapo ungekuwa na hoja. Japo ina uwezo wa kusema kuwa nchi yoyote itakayofanya biashara na Venezuela, Marekani itaiwekea vikwazo. Maana yake itazuia makampuni ya nchini mwake kufanya biashara na nchi inayofanya biashara na Venezuela. Japo hilo halifanyiki mara nyingi.

Hata Tanzania, kama kuna sababu za msingi, kwa mfano wakati ule Malawi inaleta chokochoko dhidi ya nchi yetu, ingeweza kupitisha maamuzi kuwa tunaiwekea vikwazo Malawi. Maana yake hatununui na wala hatuuzi chochote Malawi. Na wala usingeweza kusema kuwa eti hatuna mamlaka ya kuiwekea vikwazo Malawi. Ukumbuke kuwa kwa nchi yenye mifumo ya utawala shirikishi, maamuzi hayo huwa ni maamuzi yaliyoridhiwa na mihimili ya utawala wa nchi kwa kuzingatia maslahi na tunu za Taifa.
Ni uhuni,kisa mtu kakunyima mafuta yake unaanza fitna na kubaka mali zake,hiyo ndege ilinunuliwa lini,kabla au baada ya vikwazo!?..wakabariki malipo na wala si kwamba hawakujua,wamepora mali na hatch za wafanybiashara wa urusi,pesa za urusi wamepora,abramovic kaporwa chelsea kisa anajuana na putin na alipiga nae picha,huu wote ni uhuni, mamlaka simaanishi idhini ya mihimili yao ya uongozi,un ilipiga marufuku vita iraq, marekani akaanzisha vita iraq vilivyoivuruga dunia baadae

Mtu wao kashindwa uchaguzi venezuela ndiyo wanapora mali
 
Unafahamu vizuri Kiingereza? Mbona hujaeleza kwa nini USA imechukua uamuzi huo?

Utawala wa kidikteta wa Maduro umewafanya wananchi zaidi ya milioni moja kuwa wakimbizi. Kutokana na ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu unaofanywa na Serikali ya Maduro, USA iliamua kuiwekea vikwazo Venezuela. Lakini zikafanyika njama za kukwepa vikwazo, na kampuni moja ya US ikaamua kufanya biashara na Venezuela. Hivyo ilichofanya USA ni sahihi kabisa kwani ni sehemu ya kuhakikisha maamuzi ya kuiwekea vikwazo vya biashara Venezuela yanaheshimiwa.

Katika uhalisia, pamoja na mapungufu ya hapa na pale, USA na nchi za Ulaya Magharibi, ndiyo mataifa pekee yanayotegemewa kuwa walinzi wa wananchi wote wanaoonewa na kudhulumiwa na tawala dhalimu Duniani. Ndiyo maana wakimbizi wenye uwezo, wanaokimbia tawala dhalimu, kuanzia mataifa ya Kiarabu, Afrika, Asia na Ulaya Mashariki, wanakimbilia kwenye mataifa hayo. Waarabu wanaoonewa na waarabu wenzao huwezi kusikia wanakimbilia kwa waarabu wenzao, wote wanakimbilia Ulaya, labda wakose uwezo wa kufika huko.
Non sence yasn marekani alinde usalama wa wananchi ambao sio wa marekani never,arekani huingiza pua zake kila sehem anapohosi maslahi uake uanapotea. Angalia lobya, iraw, quawait
 
No time to argue with crippled minds.
Next time if you don't know something don't speak,
Make an impact by your knowledge,not by smartness of your words,don't talk until u know what you're talking about.
U're brainwashed by westerners propaganda,u can only see the truth once u experience and see the reality by yourself.
 
Hizo ni hadithi unazosikia toka kwa upande wa Maduro. Lakini watazamaji wa kimataifa, taasisi binafsi za ndani na na nje ya nchi, na yule mgombea wa upinzani, wote wanasema kuwa Maduro ameiba uchaguzi. Ndiyo maana kukatokea maandamano makubwa ya wananchi. Maduro akaamua kutumia polisi kulinda ushindi wake bandia. Akawafunga baadhi ya waandamanji, wengine zaidi ya milioni 1 wakakimbia nchi. Halafu kwa siri anaenda kununua ndege ya kifahari USA.

Venezuela Election:
Late on Monday, street protests were reported across the capital and all around the country.
Riot police clashed with protestors.
The results, which followed an election described by independent observers as the most arbitrary in recent years – even by the standards of the authoritarian regime founded by Maduro’s mentor and predecessor, Hugo Chávez.
After a six-hour delay in releasing the results prompted international concern, the government-controlled electoral authority claimed Maduro had won with 51.21% of votes compared with 44.2% for his rival, the former diplomat Edmundo González Urrutia

Edison Research, which conducts high-profile election polling in many countries, published an exit poll showing González had won 65% of the vote, while Maduro won 31%.
Later on Monday, Venezuela announced the expulsion of all diplomats from Argentina, Chile, Costa Rica, Peru, Panama, the Dominican Republic and Uruguay, and said it would withdraw its own representatives from those countries.
Unaona jinsi ulivyo mweupe kichwani? umekimbilia google ukakutana na hizo hizo propaganda za westerners,

Unafikiri Venezuela kusingekua na mafuta angepeleka pua yake huko? nchi ngapi hasa za Africa wapinzani husema wameibiwa kura,alienda kuwatetea wananchi wa hizo nchi masikini?

Ni nchi gani ambayo US ameenda na kuwafanya raia wa nchi husika kua na maisha mazuri zaidi ya kusababisha destruction and looting? Wake up,toka usingizini,umeshikiwa akili na Westeners propaganda na wewe ukaingia mazima.
 
Unalazimisha. Ya kwetu ilivyokamatwa south Africa kwako kule ni kutekwa
Sababu ya kwetu ni ipi na hiyo ya Marekani ni ipi linganisha utapata maana ya kilichofanywa kwa ndege ya raisi wa Venezuela
 
Maduro alishinda uchaguzi kwa 51% dhidi ya mpinzani wake mkuu Edmundo Gonzalez aliyepata kura 44%

Kwa akili yako US anafanya yote hayo kwa kuwapenda Wavenezuela? Na vipi sanction wakati wa utawala wa Hugo Chavez?

US hua anaangalia maslahi yake tu,

Wewe unayeendeshwa na mahaba nuie huwezi kuelewa hivi vitu zaidi ya ushabiki wa kijinga.
Unaweza ukaona kuwa nina ushabiki wa kijinga wakati wewe una ushabiki wa kidini usio na mantiki yoyote.

Kama unasema dikteta Maduro eti alishinda kwa asilimia sijui 51% ni yaleyale ya ccm nayo kudai kwamba walishinda kwa asilimia 80+ wakati hata uchaguzi wenyewe haukufanyika.

Hizi chaguzi kwa sasa hazina maana kabisa kwa sababu zinasimamiwa na walewale wanaotafuta hayo madaraka ambao mwisho hujitangaza washindi kiuongo kabisa.

Kuna haja kabisa ya kubadilisha mifumo ya uchaguzi ili chama chochote kisitawale kwa muhula usiozidi moja ili kukomesha ving'ang'anizi wa madaraka ambao hupenda kung'ang'ania madarakani wakati hakuna chochote wanachoifanyia nchi.
 
Unaweza ukaona kuwa nina ushabiki wa kijinga wakati wewe una ushabiki wa kidini usio na mantiki yoyote.

Kama unasema dikteta Maduro eti alishinda kwa asilimia sijui 51% ni yaleyale ya ccm nayo kudai kwamba walishinda kwa asilimia 80+ wakati hata uchaguzi wenyewe haukufanyika.

Hizi chaguzi kwa sasa hazina maana kabisa kwa sababu zinasimamiwa na walewale wanaotafuta hayo madaraka ambao mwisho hujitangaza washindi kiuongo kabisa.

Kuna haja kabisa ya kubadilisha mifumo ya uchaguzi ili chama chochote kisitawale kwa muhula usiozidi moja ili kukomesha ving'ang'anizi wa madaraka ambao hupenda kung'ang'ania madarakani wakati hakuna chochote wanachoifanyia nchi.
Nakubaliana na wewe kuhusu mambo ya uchaguzi.Kutambua kuwa kilichofanyika ni uhuni kujibu uhuni mwengine umepewa mfano wa jinsi ambavyo Marekani hujifanya kutambua chaguzi nyingi tu zenye mizozo na haijawahi kutia mguu wake kufanya kama hicho walichofanya Venezuala.
Marekani haishughulishwi kiukweli na mizozo ya chaguzi isipokuwa ina yake inayoangalia.Yakionekana kwenda kombo ndio wanafanya kama hivyo.
 
Unafahamu vizuri Kiingereza? Mbona hujaeleza kwa nini USA imechukua uamuzi huo?

Utawala wa kidikteta wa Maduro umewafanya wananchi zaidi ya milioni moja kuwa wakimbizi. Kutokana na ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu unaofanywa na Serikali ya Maduro, USA iliamua kuiwekea vikwazo Venezuela. Lakini zikafanyika njama za kukwepa vikwazo, na kampuni moja ya US ikaamua kufanya biashara na Venezuela. Hivyo ilichofanya USA ni sahihi kabisa kwani ni sehemu ya kuhakikisha maamuzi ya kuiwekea vikwazo vya biashara Venezuela yanaheshimiwa.

Katika uhalisia, pamoja na mapungufu ya hapa na pale, USA na nchi za Ulaya Magharibi, ndiyo mataifa pekee yanayotegemewa kuwa walinzi wa wananchi wote wanaoonewa na kudhulumiwa na tawala dhalimu Duniani. Ndiyo maana wakimbizi wenye uwezo, wanaokimbia tawala dhalimu, kuanzia mataifa ya Kiarabu, Afrika, Asia na Ulaya Mashariki, wanakimbilia kwenye mataifa hayo. Waarabu wanaoonewa na waarabu wenzao huwezi kusikia wanakimbilia kwa waarabu wenzao, wote wanakimbilia Ulaya, labda wakose uwezo wa kufika huko.
LGBTQ+
 
Unaweza ukaona kuwa nina ushabiki wa kijinga wakati wewe una ushabiki wa kidini usio na mantiki yoyote.

Kama unasema dikteta Maduro eti alishinda kwa asilimia sijui 51% ni yaleyale ya ccm nayo kudai kwamba walishinda kwa asilimia 80+ wakati hata uchaguzi wenyewe haukufanyika.

Hizi chaguzi kwa sasa hazina maana kabisa kwa sababu zinasimamiwa na walewale wanaotafuta hayo madaraka ambao mwisho hujitangaza washindi kiuongo kabisa.

Kuna haja kabisa ya kubadilisha mifumo ya uchaguzi ili chama chochote kisitawale kwa muhula usiozidi moja ili kukomesha ving'ang'anizi wa madaraka ambao hupenda kung'ang'ania madarakani wakati hakuna chochote wanachoifanyia nchi.
Dini inahusikaje hapo? Venezuela wao ni dini gani kwani? Bila shaka wewe ndiye una ushabiki wa kidini na ndio maana umewaza hivyo,

Maduro alishinda uchaguzi,US ndio ana create ili ionekane uchaguzi haukua wa haki ili yatokee machafuko coz kuanzia utawala wa Hugo Chavez mpaka Nicolas Maduro wamekataa kua kwenye position ili kuwatumikia US,

Umeiongelea CCM hapo,sasa hao US mbona wapo kimya? mbona hawashupazi shingo kama wanavyoshupaza shingo huko Venezuela? ndio ujue kua US anafanya kila kitu kwa maslahi yake wala sio eti kutetea demokrasia,

Kwani kuna viongozi wangapi hasa Africa wapo madarakana toka kitambo tu ila US yupo kimya? Hapo Rwanda uchaguzi hua haulalamikiwi?

Alidai Iraq wana silaha za WMD akavamia na kuua watu,eti anapeleka demokrasia,hizo Silaha mpaka leo hawakuzipata,mpaka Tony Blair alisema kua We were wrong,

Huko Libya leo hii kuna maisha mazuri? Alivamia Afghanistani akaua watu,leo hii Afghanistan kuna Demokrasia? kuna maisha mazuri? Machafuko ya huko DRC yanatengenezwa makusudi kabisa kwa maslaha ya Westeners,Hakuna mzungu atakayekupa maisha mazuri au kukuletea demokrasia,

Toka usingizini ili ujue Dunia inaendaje,usijadili mambo muhimu ya kidunia kwa ushabiki kama vile unajadili Simba na Yanga.
 
Unafahamu vizuri Kiingereza? Mbona hujaeleza kwa nini USA imechukua uamuzi huo?

Utawala wa kidikteta wa Maduro umewafanya wananchi zaidi ya milioni moja kuwa wakimbizi. Kutokana na ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu unaofanywa na Serikali ya Maduro, USA iliamua kuiwekea vikwazo Venezuela. Lakini zikafanyika njama za kukwepa vikwazo, na kampuni moja ya US ikaamua kufanya biashara na Venezuela. Hivyo ilichofanya USA ni sahihi kabisa kwani ni sehemu ya kuhakikisha maamuzi ya kuiwekea vikwazo vya biashara Venezuela yanaheshimiwa.

Katika uhalisia, pamoja na mapungufu ya hapa na pale, USA na nchi za Ulaya Magharibi, ndiyo mataifa pekee yanayotegemewa kuwa walinzi wa wananchi wote wanaoonewa na kudhulumiwa na tawala dhalimu Duniani. Ndiyo maana wakimbizi wenye uwezo, wanaokimbia tawala dhalimu, kuanzia mataifa ya Kiarabu, Afrika, Asia na Ulaya Mashariki, wanakimbilia kwenye mataifa hayo. Waarabu wanaoonewa na waarabu wenzao huwezi kusikia wanakimbilia kwa waarabu wenzao, wote wanakimbilia Ulaya, labda wakose uwezo wa kufika huko.
Dah….. kazi ipo
 
Pro usa aisee… mko blinded kabisa

Walichofanya ni uhuni
Nipo zangu Kyela, ninachojua kuhusu USA ni kile ninachoona kwenye TV.

Sina cha u pro wowote. Mtu kaanzisha uzi na kunukuu source ya habari ila alichoandika na kilicho kwenye source ni vitu 2 tofauti. Kwahiyo kurekebisha ndio kumenifanya pro USA?
 
Kama madulo hajakamatwa ni habari ya kheri kwangu maana anawachachafya sana
 
Akina Maduro hao ni watu bogus kabisa ni watu wa kuiba kura tu ili watawale maisha huku hakuna cha maana wanachowafanyia wananchi wao.

Sasa nchi imejaa mafuta lakini ni nchi maskini ya kutupwa kwa sababu tu ya dikteta Maduro kutaka yeye ndiye atawale kinyume na matakwa ya wananchi wake. Bure kabisa.
Marekani inaingilia sana mambo ya ndani ya Venezuela kwa tamaa ya mali.Akina Maduro wako kila nchi inayoitwa ya kidemokrasia.
 
Kila baada ya muda fulani nchi ya Marekani huwa inafanya mambo ambayo yanazidi kuishushia hadhi nchi hiyo.

Mambo hayo ni yale inayoyapinga kufanywa na wenzake.

Inaua sana kila nchi lakini wengine wakifanya hivyo huitwa magaidi.

Leo imeteka ndege ya raisi mzima wa nchi ya Venezuela kisingizio kikiwa ndege hiyo ilipatikana kimakosa.
---
The United States has seized Venezuela President Nicolas Maduro’s airplane after determining that its acquisition was in violation of US sanctions, among other criminal issues. The US flew the aircraft to Florida on Monday, according to two US officials.

It’s the latest development in what has long been a frosty relationship between the US and Venezuela, and its seizure in the Dominican Republic marks an escalation as the US continues to investigate what it regards as corrupt practices by Venezuela’s government.

The plane has been described by officials as Venezuela’s equivalent to Air Force One and it has been pictured in previous state visits by Maduro around the world.

“This sends a message all the way up to the top,” one of the US officials told CNN. “Seizing the foreign head of state’s plane is unheard-of for criminal matters. We’re sending a clear message here that no one is above the law, no one is above the reach of US sanctions.”

In a statement, Attorney General Merrick Garland said that “the Justice Department seized an aircraft we allege was illegally purchased for $13 million through a shell company and smuggled out of the United States for use by Nicolás Maduro and his cronies.”

The plane was purchased from a company in Florida, the Justice Department said, and was illegally exported in April 2023 from the United States to Venezuela through the Caribbean.

The plane, which is a Dassault Falcon 900EX, has since been used to fly “almost exclusively to and from a military base in Venezuela,” the Justice Department said, and has been used for Maduro’s international travels.

CNN has reached out to the Venezuelan Government and the US State Department for comment.

The situation in Venezuela has had implications for US politics as millions flee the country, many of whom have chosen to migrate to the US-Mexico border.

For years, US officials have sought to disrupt the flow of billions of dollars to the regime. Homeland Security Investigations — the second largest investigative agency in the federal government — has seized dozens of luxury vehicles, among other assets, heading to Venezuela.

“The plane was seized in violation of US sanctions with Venezuela and other criminal matters that we’re still looking at regarding this aircraft,” Anthony Salisbury,
Special Agent in Charge, Homeland Security Investigations told CNN.

The plane had been in the Dominican Republic in recent months. US officials didn’t disclose why, but it presented an opportunity for US officials to seize the aircraft.
Multiple federal agencies were involved in the seizure, including Homeland Security Investigations; Commerce agents, the Bureau of Industry and Security; and the Justice Department.

US officials worked closely with the Dominican Republic, which notified Venezuela of the seizure, according to one of the US officials.

One of the next steps, upon arriving to the US, will be pursuing forfeiture, meaning the Venezuelan government has a chance to petition for it, and collecting evidence from the aircraft.

The US recently placed pressure on the Venezuelan government to “immediately” release specific data regarding its presidential election, citing concerns about the credibility of strongman leader Maduro’s victory.

Earlier this year, the US reimposed sanctions on Venezuela’s oil and gas sector in response to the Maduro government’s failure to allow “an inclusive and competitive election” to take place.

After the controversial reelection of Maduro on July 28, Venezuela suspended commercial flights to and from the Dominican Republic.

Federal agencies, including HSI, have long been going after the Venezuelan government over corruption concerns. Over recent years, HSI has disrupted $2 billion worth of the Venezuelan government’s illicit proceeds or resources, including judgements, seizures, liquidation of bank accounts, according to one of the US officials.

In March 2020, the US Department of Justice charged Maduro, together with 14 current and former Venezuelan officials, with narco-terrorism, drug trafficking and corruption.

“For more than 20 years, Maduro and a number of high-ranking colleagues allegedly conspired with [Colombian left-wing guerrillaa] the FARC, causing tons of cocaine to enter and devastate American communities.,” then-Attorney General William Barr said at the time.

The State Department’s Bureau of International Narcotics and Law Enforcement Affairs has offered a reward of up to $15 million for information leading to Maduro’s arrest or conviction.

In 2017, two nephews of Maduro’s wife Cilia Flores were sentenced to 18 years in prison by a federal court in New York City for trying to smuggle up to 800 kilograms of cocaine into the United States on a private jet; the two were later released by the United States in a prisoners’ exchange in 2022.

“We see these officials and the Maduro regime basically fleecing the Venezuelan people for their own gain,” the US official said. “You have people who can’t even afford a loaf of bread there and then you have the president of Venezuela jetting around in a high-class private jet.”

Poor economic conditions, food shortages and limited access to health care have pushed more than 7.7 million people to flee Venezuela, marking the largest displacement in the Western Hemisphere.

US seizes Venezuela President Nicolas Maduro’s airplane in the Dominican Republic


CNN
Kweli bado tuna kazi katika kuzielewa vizuri lugha za watu. Mleta mada mbona nimesoma article nzima sijaona sehemu waliyosema NDEGE IMETEKWA? Unajua utofauti wa hijack and seizure?
 
Back
Top Bottom