Yeye anapeleka silaha Ukrain- China akisaidia Urusi anamuwekea vikwazo.
Yeye anawapa silaha zote Israe, Wengine wakisaidia anakasirikisha na kutisha
Yeye anawakandamiza raia wanaondamana wake wengine wakifanya anakemea.
Yeye anafanya baishara atakavyo- wengine wakifanya anawaekea vikwazo.
Hivi anaonaje wengine? kama hawana haki yoyote duniani?
Anasahau kulikuwa wanatawala wengi duniani wenye nguvu hivi sasa mataifa hayo yamekuwa historia tu?
Yeye anawapa silaha zote Israe, Wengine wakisaidia anakasirikisha na kutisha
Yeye anawakandamiza raia wanaondamana wake wengine wakifanya anakemea.
Yeye anafanya baishara atakavyo- wengine wakifanya anawaekea vikwazo.
Hivi anaonaje wengine? kama hawana haki yoyote duniani?
Anasahau kulikuwa wanatawala wengi duniani wenye nguvu hivi sasa mataifa hayo yamekuwa historia tu?